Historia ya maisha yangu

Huyu jamaa lakini nyuzi zake zote ndo muandiko wake huu

Mm nawaomba mods waweze kurekebisha na kuweka vizuri hichi alichokiandika agonalile
 
Kichaa sio lazima kuokota Makopo tu..

Hata huu ni ukichaa..
 
agonalile kikwetu maana yale ni "yuko na lile" yaani "ana jambo lake"
 
Hahahaaa!! Waleeeeeeete mpk tuone panapo vuja.
 
Huyu sio Ndio wewe??

 
Maandishi ya huyu mwamba ni magumu kuliko school of law pale mlimani
 
Ni mgonjwa wetu hapa Milembe ametutoroka, wanaJF tunaomba mtusaidie kujua yuko wapi ili tumrudishe aendelee na matibabu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…