Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

daah nimesoma toka sehemh ya kwaza mpaka sita, alafu nilichojifunza toka naishi Burundi na kutembelea Rwanda kuna dalili ya kuwaka tena, sababu kubwa Hutu na Tutsi kubaguana.
Tuache kujipa moyo ubaguzi upo kabisa wa kikabila nimeshuhudia kwa macho yangu ila nawaombea sana Mungu aepushe huu ubaguzi muishi kwa amani hizi ni nchi nzuri sana nilienjaoy kwa kweli.
 
Safi mkuu japo ya leo imekuwa kilemutuz
 
asante sana.. Tutajiunga na kundi la whatsapp kwa kweli
 
shukrani Mheshiwa kwa upeo wako kukubali ushaul...nmeipenda na hivi ndivyo kiongoz anatakiwa awe.Ubarikiwe sana lakini ukumbuke MUNGU ndo kakuweka hapo ulipo so tumika kutimiza malengo ya MUNGU..
 
This Time imeishia Pazur sana aisee, Kama utaweza kutengeza Vitabu litakuwa jambo la msing sana kwa hzi simuliz zako Mkuu.
 
Kaka sehemu ya inayofuata ni lini? Maana kama hamu hapa imenipanda nataka kujua kilichojiri aiseee.
Umekatisha utamu kaka.
Nakuomba pia unisaidie historia ya nchi ya Burundi hadi Nkurunziza kuwa madarakani.
Umetisha kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…