Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Jf huwezi choka aise nikigeuka iv kilimo cha mifereji tena nikigeuka iv forex tena iv anga la washenzi by stev a.k.a jona nikiangalia iv magari ya nauzwa bai yakufikirika aise Jf ni balaa

Daah mkuu itakua wewe ni msomi sana.Umekaa kiprofesa profesa yani.Cheki maandishi yako
 
Mkuu nafikiri ww ni mtu mkubwa sana ndani ya nchi hii na unaelewa mambo mengi kuhisu EA
 
Simulizi hizi ni kutufanya tusahau mambo ya rwanda ...as if rwanda ya miaka ya miaka ya 90 ni Yeriko ati ilipinduliwa kwa nyimbo tu...ati wahutu waliratibu wauaji ya kimbali...now why 94 na sio 86....anyway kuna dots naziunganisha hapa..huyu mleta maada anajua tangu Tz tumemtoa Amin Uganda...Uganda ilipitia vipindi tofauti vya mapinduzi mpaka nyandwi wa nkole district akashika nchi 86 nkole district bila shaka ndo ilihost wakimbizi toka Rwanda....89-90 ya Rwanda yakaibuka tokea Uganda ndo hayo yakimbali..mara paa kwa mobuto wakalianzisha tokea rwand, Uganda Kabila mtoto ndo rais..anyway tunashukuru hata kwa zawadi ya ng'ombe toka Uganda kwa familia flani hivi..kimsingi mambo ya Rwanda hatuhitaji kumtafuta mchawi usiku ...binafsi naona bado kuna moto unawaka mara hii mioyoni mwa wanyarwanda waliopoteza ndugu zao 89-97... ukisikiliza nyimbo zao utajua na maana gani...anyway mahakama za Belgium na Spain zinamsubiri mtu flani hivi anyooshe maelezo.
 
We kn kitu unakiona,umekiona,nami nakiona
 
Uko vizuri historia nzuri ya makabila haya mawili haitofautiani na historia niliyowahi kusikia naomba niunge kwenye group lako la watsap kwa historia zaidi,

Maana inasemekana hata chakula wahutu walikula masazo ya watusi, kiukweli watusi walijiweka kwenye daraja la juu sana.
 
Katika Story yote nimeguswa na hapa tu sababu it sounds familiar

" Baada tu ya kuingia madarakani Habyarimana alivifuta vyama vyote vya siasa nchini humo akieleza kuwa hataki Rwanda iendekeze majibishano ya kisiasa kila siku badala ya “kuchapa kazi” na mara nyingine akituhumu vyama vya siasa kutumika na maadui wa Rwanda ili kuvuruga taifa. Mwanzoni wananchi karibia wote waliunga mkonmo msimamo wake huu. Lakini ajabu ni kwamba mwaka uliofuata baada ya kuingia madarakani, yaani mwaka 1975 Rais Juvenal Habyarimana aliunda chama chake cha siasa ambacho alikiita Mouvement Revolutionnaire National pour le Developpement (MRND) na kutangaza kwamba hicho ndicho kitakuwa chama pekee cha siasa nchin Rwanda."

 
Hope Umeona hii style inaigwa na kiongozi mmoja wa East Africa.

Ni hatari sana, ati siasa hadi kipindi cha uchaguzi tu!
 
Maziwa makuu kuna siri nyingi sana nyengie za kufurahisha na nyengine za kuogofya sana. Hapa tunahitaji wale ambao wanaishi katika miji ya Rwanda, Burundi na Uganda au ambao wanatembelea mara kwa mara waje hapa watoe ushuhuda wa jinsi mambo yalivyo kwa sasa. Mkuu The bold umetoa elimu kubwa tafadhali uje uendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…