Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

nia yao ilikuwa nzuri sana tu... walitakata amani ya kudumu wajenge nchi pamoja..kama nia yao ingekuwa mbaya bilashaka kuna neno zaidi ya genocide lingepatikana
Nia njema bila tathmini ya kina na kutumia past experience ndio inawagharimu,ilitakiwa hiyo nia njema yao ije kutekelezwa baada ya kizazi cha maveterani kutoweka duniani,wajilaumu wenyewe kupitia Habyarimana wao,nia njema na shetani are you serious?
 

Proudly Rwandese aaaaaaaaaaah utaweweseka sana
 
Unaongea sana ila huo ni ukweli hata ww uko mguu pande mja ndani mwingine nje,kitatokea tu kwani huyo PK akisepa make anafanya Yale Yale ya akina hybiarimana,mapovu hayo hayatabadili huo ukweli mumelaaniwa kwa damu nyie sio bure

Mtaweweseka sana Watz ila Proudly Rwandese Kagame my President wacu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umelaaniwa mtanganyika mna kila kitu halafu n maskini mapaka shule ipo karibu na ikulu haina madawati
 

Endeleeni kuiombea njaa Rwanda zamu yenu inakuja Kwenye nchi yenu mna kila kitu ila maskini wa kutupa vp ela za makinikia mmepewa ccm n nyoko wanawazubaisha mmekaa kaaa kawa wehu
 

Povu la mwendo kasi hili.Vi nchi eti af bado unavijadili hapa Proudly Rwandese
 
Hahaha[emoji1] mtoto una dharau Ww khaa!
Hivi shule ya Bunge pale Ina ukosefu wa madawati wakati mhishimiwa kila akitoka getini cha kwanza lazima aione shule!
 
Hahaha[emoji1] mtoto una dharau Ww khaa!
Hivi shule ya Bunge pale Ina ukosefu wa madawati wakati mhishimiwa kila akitoka getini cha kwanza lazima aione shule!

Haaaaaaa nenda kaone pale uje kuadisia au kumbuka enzi zile mama Sita ndio waziri wa Elimu shule haikua na madawati hii leo Tz shule kibao wanasoma chini ya miti mvua ikinyesha hakuna shule n likizo halaf wanataka fananisha na Rwanda Kwanza Rwanda nzima hakuna nyumba ya Nyasi PROUDLY RWANDESE
 
Endeleeni kuiombea njaa Rwanda zamu yenu inakuja Kwenye nchi yenu mna kila kitu ila maskini wa kutupa vp ela za makinikia mmepewa ccm n nyoko wanawazubaisha mmekaa kaaa kawa wehu
asante kwa ushauri..ni kweli tuna njaa ila hatuzijui Ak 47...tupo makabila 120++ila tunaheshimiana..kimsingi tunataka mkae kwa amani ili tupige hela toka kwenu hatutaki mrudi kama wakimbizi..nchi yetu ni kubwa hata kidogo haiwezi kulingana nasi...uchumi wenu ni kama assets za tanesco yetu sasa kwa sababu 14% ndo nyie Mungu awape nini....pondeni mali kwa raha zenu....
 

Umeandika mashudu haya et Tanesco hii hii ambayo saa hii mtu ako Mbezi anasema hakuna umeme kweli Watz mna ubongo wa mbuni.Hapana chezea Rwanda Mpaka mkaanzisha thread hii kuisema Rwanda kwi kwi kwi kwi Proudly Rwandese.
 
Umeandika mashudu haya et Tanesco hii hii ambayo saa hii mtu ako Mbezi anasema hakuna umeme kweli Watz mna ubongo wa mbuni.Hapana chezea Rwanda Mpaka mkaanzisha thread hii kuisema Rwanda kwi kwi kwi kwi Proudly Rwandese.
usitukane ongea kwa staha...tofautisha kati ya uwekezaji na ufanisi...nyie land locked tatawapendea nini kama sio hela sie tupo bar hapa tunawasubiri mtapita tu ngoja mjilegeze mtusaidie kujenga SGR...kisha nikulipa kodi tu ...in fact tutacheka nanyi kinafiki
 
Ni shida hatari sana yani hatari...
 
Mr slim mtu hatari sana mtu mbaya sana hafai uyu jamaa...
 

brother umeaongea ukweli, tatzo hili jambo limefichwa sana alaf report ya hayo mauaji yanaukakasi mno. kifupi wamedanganya mno
 
Kama wew ni mtanzania usiye na asili ya kihutu wala kitusi hafu upo jf kubishana uhutu na utusi ni mpuuzi

Nahisi wote mnaotukanana humu sio Tanzania natives

Mambo ya wahutu na watutsi yanatuhusu kama yanavyotuhusu mambo ya wakikuyu na wajaluo. Sababu zipo nyingi. Mosi, ni kituko kikubwa kwetu. Pili ubinaadamu. Tatu mkianza kutoana roho mnakimbilia huku na kuanza kutuathiri kijamii, kimazingira na nk.
 
Mambo ya wahutu na watutsi yanatuhusu kama yanavyotuhusu mambo ya wakikuyu na wajaluo. Sababu zipo nyingi. Mosi, ni kituko kikubwa kwetu. Pili ubinaadamu. Tatu mkianza kutoana roho mnakimbilia huku na kuanza kutuathiri kijamii, kimazingira na nk.
Ona tunavyotukanwa nakuoneka tuna roho mbaya kwajili yakuwaongelea hao
 
Kama wew ni mtanzania usiye na asili ya kihutu wala kitusi hafu upo jf kubishana uhutu na utusi ni mpuuzi

Nahisi wote mnaotukanana humu sio Tanzania natives
Sasa si mada imewekwa mezani au unafkiri kwenye thread zingine tunatajaga wahutu na watutsi??? By the way hii ni social network ambayo ipo kokote duniani hata ukiwa uingereza una sign in sasa nani kasema unapojibu unaangalia taifa lako mbona wakenya kibao tu huwa wanakuja kwenye mada za chadema vs CCM na hakuna anayesema ni msimamo wa wakenya

Kwa ufupi tunajadili sababu mada husika inahusu Tutsi na Hutu ila nje ya thread hii ukikuta mtu anaendeleza mijadala hii ndio umkemee ila sisi tuko Sawa maana mada inahusu jambo hilo hilo

Kumradhi
 
Kama unaasili yakihutu simamia uhutu kutema yongo zako usitumie kivuli cha utanzania
Kama ni hivyo basi wa kwanza kulaumiwa angekuwa the bold kwa kuleta mada ya kuhusu watutsi na wahutu maana ssi ndio tunachangia mada husika au ulitaka tusome afu tusichangie chochote?? Na nani aliyekwambia ukiwa mtanzania usifuatilie habari za nchi jirani?? Je kma una mpango wa kuwekeza huko kibiashara huoni ni muhim kujua political climate ya nchi za jirani..... Kwa mawazo yako ina maana trump alipotuita shitholes ndio msimamo wa wamrekani wote??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…