sheikh wazir
Member
- May 28, 2017
- 89
- 65
Hili ni jukwaa ambapo unaweza kusuuza utando machoni kwa kutojuwa undani Wa mambo,na Nina imani jukwaani kuna watu waliobobea kwa ujuzi na weledi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiwasi ndo akili mkuuHuwa nahisi Mtikila pia 'aliuwawa na hawa watu'
Mambo haya ndio yanayochochea machafukoMkiua kwa upanga mtakufa kwa upanga sasa ulitaka mlipokimbilia mapori ya Congo tuwaachie tu na huku mmeshaua ndugu zetu? kwa taarifa yako hatujamaliza tutawafuata popote mlipo ndani ya dunia hii, we are born rulers!
Waafrika mbona mwatukanana? Hebu karibuni kule Jamii Intelligence mjitambue. Acheni hizo hisia za kubaguana kwa uhutu na utusi waafrika.Chukua hilo povu ukamtawazie mama yako!
Nakerwa sana na tabia ya mtu kusema eti fulani kasema uongo na huku yeye hasemi huo ukweli?Ukiandika ya kwako itafaa sana Fact hupingwa na fact sio kelele za Chura hizi.
Mkuu kwanza hongera kwa kustahimili kifungo.pili hao ndo wazalendo wenyewe walobaki.Niwashawazoea hawa... wala sihangaiki nao!
Busara ilikuwa asubiri nimalize mada yangu kisha aanze kupinga kwa hoja sehemu kwa sehemu.
"Anasema nasubiri nione utakachoandika Kagame alipate comanding position ya RPA" utaona hapo tone ya sentesi yake anajiandaa kupinga kitu ambacho hata sijakiandika bado na hajui nitaandikaje.
Anaposema ati Museveni hakuudhuria Moshi Conference anatakiwa atueleze FRONASA iliwakilishwa na nani?? Au anataka kusema FRONASA hawakuudhuria Moshi Conference?? That will be a pure and total lie.
Anapoanza kuongelea role ya Rwigyema ndani ya RPF wakati hata bado hajaona nimeandika nini kuhusu kuibuka kwa RPF na role ya Kagame na Rwigyema and their stature inside RPF sio busara. Unapaswa kuiona hoja kisha ndio upinge sio unapinga kitu ambacho hata bado hujakiona nimeandikaje.
Anyways, naheshimu mawazo yake. Akili ni nywele...
Mkuu,tumewaza sawasawa.kumbe haya mambo ya kuzuia mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa kisingizio cha watu kuchapa kazi yana asili yake.Katika Story yote nimeguswa na hapa tu sababu it sounds familiar
" Baada tu ya kuingia madarakani Habyarimana alivifuta vyama vyote vya siasa nchini humo akieleza kuwa hataki Rwanda iendekeze majibishano ya kisiasa kila siku badala ya “kuchapa kazi” na mara nyingine akituhumu vyama vya siasa kutumika na maadui wa Rwanda ili kuvuruga taifa. Mwanzoni wananchi karibia wote waliunga mkonmo msimamo wake huu. Lakini ajabu ni kwamba mwaka uliofuata baada ya kuingia madarakani, yaani mwaka 1975 Rais Juvenal Habyarimana aliunda chama chake cha siasa ambacho alikiita Mouvement Revolutionnaire National pour le Developpement (MRND) na kutangaza kwamba hicho ndicho kitakuwa chama pekee cha siasa nchin Rwanda."
Unaongea sana ila huo ni ukweli hata ww uko mguu pande mja ndani mwingine nje,kitatokea tu kwani huyo PK akisepa make anafanya Yale Yale ya akina hybiarimana,mapovu hayo hayatabadili huo ukweli mumelaaniwa kwa damu nyie sio bureAcha uong mnaachoombea hakitakuja tokea nyie mbuz mikia Rwanda yasogea mbele nyie bakieni na Ccm yenu mpaka iwakamue dam PROUDLY RWANDESE.
Alwys History written by victorshii kitabu ni kama inaelezea mauaji na jinsi RPF walivyo zima....lakini hakielezi nani mzushaji wa hatari ... mwandishi wa kitabu cha...Rwanda Political History,and crises..Bwana Lewis Boyce... ameandika paragraph mbili tatu katika kitabu kizima zinasumbua macho kidogo ...mfano katika..history of the country...ameandika
...By 1994,Rwanda's population stood at more than 7millions people comprising three ethnic group:the Hutu(85%)of population,the Tutsi 14% and the Twa (1%)...Ila Yale mauaji yanaitwa mauaji ya kimbali dhidi ya watutsi...waliokimbia 1962 ni watutsi 120,000...askari wa RPF walioanzisha mapigano 7000....taarifa ni kuwa zaidi ya watu milioni moja waliuawa Rwanda...kimsingi tusingemwona hata huyo mwishikiwabho
Me sishabikii upande but wanaweza jitetea kwamba wao walikuwa wanajihami kujitetea jamii yao isitoweke so in the course of defending themselves wakawaua hao wahutu waliojaribu kuwatokomeza so for this matter wa naona wanahaki ya kusema genocide against Tutsi coz they were the targetMie ni mtanzania wa huko mwisho wa reli na sijawahi kuwa mhutu ila nmeshasema nmepoteza jamaa kibao ndio maana nafuatilia hizi mada sasa wewe unayesema sina facts nimeshaleta facts hapa twende taratibu
1.kwamba Rwanda population ilikuwa less than 5 million kabla ya genocide kuanza maana wengine walishaanza kukimbia vita ya RPF kuvamia rwanda...
2. takwimu zinasema tutsi were 15% na hata The bold kahakiki hilo sasa najiuliza sasa 15% ya 5 million ni ngapi??
3. Tunapata almost laki 7 sasa jiulize kulikuwa na survivors zaidi ya laki 3 wa kitutsi baada ya vita.... Ina maana walikufa kati ya laki mbili hadi 4
4.jiulize sasa kma death toll ni million 1 je hao laki 6 ni kabila gani
Basi tufanye wote 15% walikufa ambao ni laki 7..... Ina maana walikufa wahutu laki 4 si ndio?? Maana total deaths ilikuwa 1,070,000 je hapo mnatumia basis gani kuita tutsi genocide ilihali kuna wahutu laki 4 wamekufa???
Je sasa hivi imekuwaje Tutsi bado wako zaidi ya million 1 nchini rwanda??? Wametokea wapi hao wa tutsi wanaoishi rwanda sahivi ambao kwa statistics hata za wikipedia tu au CIA factbook zinaonyesha wako zaidi ya million mmoja au kwa mawazo yako watu laki 1 mnaodai walisurvive wanaweza zaa million moja ndani ya miaka 20?? Ilihali wahutu growth yao ni ile ile 2.5% mpaka leo lakini watutsi eti population growth yao iwe 100% kila mwaka!!! Si ingekuwa rekodi ya dunia???
Funny
Heshima yako mkuu na una hoja nzito sana shida inakuja kwamba Rwanda ilikuwa na amani kabla ya RPF kuwavamia 1990 hivyo nani hapo alikuwa anajihami kati ya wahutu na watutsi??Me sishabikii upande but wanaweza jitetea kwamba wao walikuwa wanajihami kujitetea jamii yao isitoweke so in the course of defending themselves wakawaua hao wahutu waliojaribu kuwatokomeza so for this matter wa naona wanahaki ya kusema genocide against Tutsi coz they were the target
sorry mkuu unaweza kunipatia jina la hiki kitabu na namna ya kukipataHeshima yako mkuu na una hoja nzito sana shida inakuja kwamba Rwanda ilikuwa na amani kabla ya RPF kuwavamia 1990 hivyo nani hapo alikuwa anajihami kati ya wahutu na watutsi??
Kumbuka mwaka 1994 watutsi ndio walivamia rwanda upya kutaka kumng'oa habyarimana na unaambiwa walikuwa wameshapanga genocide yao wenyewe ya kuua muhutu yeyote mbele yao na nimeambatanisha ushahidi wa ushuhuda kule ICTR hivyo naweza kuconclude binafsi ya kwamba kwa kuwa watutsi ndio walivamia Rwanda tunaweza sema wahutu ndio waliojihami maana si ndio waliokuwa na serikali
Na mkuu huwezi jihami ukaua wahutu laki 8!! Ilihali nyie mmeuawa laki 2!! Lazima mna agenda ya siri ndio maana toka siku ndege inatunguliwa kagame aliwaambia tusonge mbele ikiwa na maana alijua sana kwamba vita inaanza rasmi hivyo ni sawa kusema watutsi ndio walipanga genocide ila wahutu walijihami dhidi ya mvamizi
Ahsante
hii taarifa inanifanya nisome zaidi nashukuru sana nduguHeshima yako mkuu na una hoja nzito sana shida inakuja kwamba Rwanda ilikuwa na amani kabla ya RPF kuwavamia 1990 hivyo nani hapo alikuwa anajihami kati ya wahutu na watutsi??
Kumbuka mwaka 1994 watutsi ndio walivamia rwanda upya kutaka kumng'oa habyarimana na unaambiwa walikuwa wameshapanga genocide yao wenyewe ya kuua muhutu yeyote mbele yao na nimeambatanisha ushahidi wa ushuhuda kule ICTR hivyo naweza kuconclude binafsi ya kwamba kwa kuwa watutsi ndio walivamia Rwanda tunaweza sema wahutu ndio waliojihami maana si ndio waliokuwa na serikali
Na mkuu huwezi jihami ukaua wahutu laki 8!! Ilihali nyie mmeuawa laki 2!! Lazima mna agenda ya siri ndio maana toka siku ndege inatunguliwa kagame aliwaambia tusonge mbele ikiwa na maana alijua sana kwamba vita inaanza rasmi hivyo ni sawa kusema watutsi ndio walipanga genocide ila wahutu walijihami dhidi ya mvamizi
Ahsante
Ukweli mchungu ...nia yao ilikuwa nzuri sana tu... walitaka amani ya kudumu ili wajenge nchi pamoja..kama nia yao ingekuwa mbaya bilashaka kuna neno zaidi ya genocide lingepatikanaKimsingi wahutu ndio wa kujilaumu,walikuwa underprivileged toka enzi za ukoloni,wakabebwa na wakatoliki kwenye elimu hadi wanapata utawala then wanachezea shilingi chooni wakati wametumikishwa miaka ya kutosha.Umbulula wao ndio umewafanya wapokwe madaraka ilhali wanajua silka ya maadui wao toka awali,wajilaumu wenyewe.
Arrogance tribalism ya Watutsi ni hatari kwa ustawi coz they can't compromise na wengine