Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Mmmh

Unachosema siwezi kihakiki.

Kwa kuangalia tu,kuna posts humu za ajabu kabisa,zinashabikia kuuawa kwa watu na zinapata likes zaidi.

Wala haija haja ya kutumia rocket science,soma tu posts za huu uzi.Kuna posts za ubaguzi mkali sana na zinasifiwa mno na nyie nyie.

Kuhusu Rwandair,ni kashirika kadogo tu,usije kapa sifa zisizohitajika.Foot print ya Rwandair ni abysmal.Sema sababu ya upenzi kwa taifa lako unawajibika kusifia either way.Mimi binafsi siwezi sifia Tanzania eti sababu mimi Mtanzania,naangalia truth na comparison with the other performers.I look into the mirror na kutoa honest judgement,sina upenzi wa namna hiyo mpaka unakua blind na obvious truths.
Hata sisi ni rwandese but hatushabikii. Ila tunapingana na wanaoongelea vibaya vitu ambavyo no more exist!! We must leave Genocide as the past and we still remember and reconciliation!! #we say never again
 
Hata sisi ni rwandese but hatushabikii. Ila tunapingana na wanaoongelea vibaya vitu ambavyo no more exist!! We must leave Genocide as the past and we still remember and reconciliation!! #we say never again

Never again but still Tutsi seem to have that self glorifications over others.

That has to change too!
 
Jamani hizo mambo unazitoa Wapi?? Hacha hakuna kitu kama hicho huku!! Mbona walifanya mauaji wanasamehewa wanarudi uraiani? Dhambi hizo Ndugu msi judge vitu msivyonauhakika navyo


Mnaonekana humu na attitude zenu!

Pitia huu uzi mwanzo mpaka mwisho,utaona kuna tatizo kubwa sana bado.

Wewe huwezi kung'amua maana upo ndani ya mfumo huo huo!Sisi wa nje tunaona clearly!

Sija-judge.Sijawahi fika Rwanda,sijawahi kaa nao,wala siwajui kiivyo.Ni hii thread mimi nimeangalia.Japo uelewa wangu in general utakua skewed,ila sidhani nitakua 100% out of the real situation.
 
Mnaonekana humu na attitude zenu!

Pitia huu uzi mwanzo mpaka mwisho,utaona kuna tatizo kubwa sana bado.

Wewe huwezi kung'amua maana upo ndani ya mfumo huo huo!Sisi wa nje tunaona clearly!

Sija-judge.Sijawahi fika Rwanda,sijawahi kaa nao,wala siwajui kiivyo.Ni hii thread mimi nimeangalia.Japo uelewa wangu in general utakua skewed,ila sidhani nitakua 100% out of the real situation.
uzi mzuri sana but unaharibiwa...sio watusi wote wana superiority complex...mambo ya genocide ni magumu sio ya kuyashangilia..we are All Africans tuishi kwa upendo, and let's try to learn something new and positive in every situation ...matusi sio dalili ya maturity na civilisation...
 
uzi mzuri sana but unaharibiwa...sio watusi wote wana superiority complex...mambo ya genocide ni magumu sio ya kuyashangilia..we are All Africans tuishi kwa upendo, and let's try to learn something new and positive in every situation ...matusi sio dalili ya maturity na civilisation...


Sure,you are correct!

Ila kuna katatizo among these two blood brothers!

Sema labda wapo kwenye denial tu!
 
Sure,you are correct!

Ila kuna katatizo among these two blood brothers!

Sema labda wapo kwenye denial tu!
there is A lot between hutu and tusi that many don't know...genocide haikuua watusi tuu walikuepo wahutu waliouliwa wenye msimamo wa kati...all in all tuishi kwa upendo ndicho cha msingi. ..
 
there is A lot between hutu and tusi that many don't know...genocide haikuua watusi tuu walikuepo wahutu waliouliwa wenye msimamo wa kati...all in all tuishi kwa upendo ndicho cha msingi. ..


Sure my sister!

Open minded girls like you are hard to find!

Hope we will get a very cohesive inclusive Rwandan or Tanzanian society!
 
Sure my sister!

Open minded girls like you are hard to find!

Hope we will get a very cohesive inclusive Rwandan or Tanzanian society!
wanyarwanda na warundi have long been a part of Tanzanian society toka Enzi hzo...ukitembea ngara na kigoma utaelewa ni namanisha nn...wanaowashangaa watusi au wahutu kuwepo bongo sasahvi ni wale wasiojua history...
 
unalinganisha Tz na hako ka kijjji kenu...kutwa mpo kwetu,kama nchi yenu ni nzuri mwataka nn kwetu,JK aliwaweza kuwatimua,punguzeni kuwashwa vikojoleo uanot that smart
Mkuu unanikumbusha JK my all time prezo acha apumzike jemedari yule siasa ya nje napiga salute kwa mnyama JK
 
Jamani hizo mambo unazitoa Wapi?? Hacha hakuna kitu kama hicho huku!! Mbona walifanya mauaji wanasamehewa wanarudi uraiani? Dhambi hizo Ndugu msi judge vitu msivyonauhakika navyo
Naweza kukubaliana na wewe kwa sehem some of you are trying hard to overcome the wound of that evil incidence na kwa kweli naunga mkono juhudi zenu ila kumbuka haki huokoa taifa hivyo bidii zenu ziendane na haki pia kwa jamii zingine zilizoko rwanda nje ya hapo hata kama itapita miaka mia genocide itakuja tena kwa sababu ukiisoma huwa inafanyika kwa plan ambapo kizazi huzaliwa na kurithishwa hiyo hasira hadi pale kinapolipa inaweza isiwe kutokea misitu ya kongo ila nimekaa na wanyarwanda Malawi hapana aisee bado kazi ipo
 
Naweza kukubaliana na wewe kwa sehem some of you are trying hard to overcome the wound of that evil incidence na kwa kweli naunga mkono juhudi zenu ila kumbuka haki huokoa taifa hivyo bidii zenu ziendane na haki pia kwa jamii zingine zilizoko rwanda nje ya hapo hata kama itapita miaka mia genocide itakuja tena kwa sababu ukiisoma huwa inafanyika kwa plan ambapo kizazi huzaliwa na kurithishwa hiyo hasira hadi pale kinapolipa inaweza isiwe kutokea misitu ya kongo ila nimekaa na wanyarwanda Malawi hapana aisee bado kazi ipo
Wanyarwanda walioko Malawi Zambia Congo na Zimbabwe Angola na sehemu nyingine ni wakimbizi wa kuanzia mwaka 1994 baada ya kufanya mauaji walikimbia baada ya kagame kustopisha Genocide so bado wanahisi kwamba Yale waliyofanya ndo watakayofanyiwa ndo maana wanampinga saana mzee!! Ila mzee kashaweka Ndege kwa kila nchi mnyarwanda anayetaka kurudi atarudishwa bure na atapewa nyumba ya kuishi!! Sema walioko nje bado wanazingirwa na mambo ya ukabila!!
Waulize tuu nilini walikuja rwanda wakapigwa
 
wanyarwanda na warundi have long been a part of Tanzanian society toka Enzi hzo...ukitembea ngara na kigoma utaelewa ni namanisha nn...wanaowashangaa watusi au wahutu kuwepo bongo sasahvi ni wale wasiojua history...
Haya mambo ungemwambia yule mnyarwanda mwenzio anaetukana hovyo wala huyu Uzi usingefika hapa amewakilisha vyema wanyarwanda that's why hata sisi tunamjibu shit mana ameshindwa kujielewa
Mkuu ukitaka tuache kuongea maneno mabaya
mwambie nduguyo aache kutu attack na maneno ya ajabu ajabu..

sisi ni WaTz ,ni watu rafiki sana... ndio maana hukuti tuna mambo ya ajabu ajabu ...
tunaguswa na tatizo lenu la genocide na ndio maana tuko hapa leo tunajadili....
hata ukifatilia comment zangu kabla sijaanza mabishano ,nilisema sitamani kuona mkirudi huko it was very sad[emoji26]....

Ukweli huyu Jestila amenifanya nimeongea vitu vigum sana maana wanyarwanda nimeishi nao kwa mwaka mzima kifupi kutoka 1994 mpaka sasa wengi wao bado wanalia sana na huwa sipendi kuwasemea matatizo ila haka ngoja nikanyooshe kidogo japo naumia nikikumbuka nilivyoishi nao na kuwasaidia sana pale ilipobidi

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ungemwambia yule mnyarwanda mwenzio anaetukana hovyo wala huyu Uzi usingefika hapa amewakilisha vyema wanyarwanda that's why hata sisi tunamjibu shit mana ameshindwa kujielewa
usigeneralise tabia ya mmoja kutufanya ya wote. ..don't let a single or few people destroy the image of people you have never met...tuko hapa kwa huu uzi tukiwa na nia ya kuelimika na kujifunza
 
No more hutu and tutsi in rwanda!! We are all rwandese so utasubiri saana kuona hivyo vituuu. [HASHTAG]#tunasemaga[/HASHTAG] never again Genocide against tutsi#

Kama bado mnaamini kwamba watutsi ni wa daraja la juu kuliko wahutu hakika ipo siku mtakuja nyukana huko mbeleni. Wahutu hawatokaa wakubaliane na hili suala
 
Haki haijawailetwa mezani ndio maana hata nchi yenu mmekaa kimaskini sana hamjielewi mmerizika na maisha yenu haya ya kubangaiza bangaiza ndio maana unashangaa shangaa tu

Hakuna umaskini mbaya kuliko ule unaoingia mpaka akilini unakupa wazo la kuchukua silaha na kumuua mwenzio Eti kwasababu tu ni kabila tofauti na lako. Nyie watu mnayo laana
 
Hahahahahahahahahahahahahahahaha
Tuna nyumba za Nyasi lakini hatuna hata mkoa mmoja wenye genocide Memorial....

Hatuadhimishi Genocide kila mwezi wa4...
Tuna sikuukuu ya uhuru,Muungano na baba wa Taifa.

Najivunia UTanzania[emoji171]

Mimi hapa , chukulia ni Mbondei. Sielewi sijui inaweza tokea tokea vipi nichukue panga nianze kumchinja msambaa au mpare au mnyaturu, kisa Eti kabila lake. Hawa watu ni machizi. Na hawana hata aibu wanajibaraguza hapa
 
Back
Top Bottom