Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

kama ni wewe MKUU #THE_BOLD upo hewani mubashara JFrums narejea ukithibitisha kiduchu thread ile ya [HASHTAG]#september[/HASHTAG] 11
 
Lelommassy,
@zitto junior
Wakuu mahakama ya ICTR ilishathibitisha pasipo na shaka kuwa hakukuwa na mipango ya genocide na washitakiwa wote wakafutiwa mashitaka ya conspiracy to commit genocide. Kwa hiyo genocide dhidi ya watutsi haikupangwa and that is a FACT iliyothibitishwa na mahakama. labda kwa upande wa genocide against hutus kama na yenyewe ilipangwa au la bado hatujui kwa kuwa ICTR ilishinikizwa na marekani kutomshtaki kagame na wenzake ingawa prosecutor tayari alishaandaa mashtaka.
 
I assure you have something crutual to tell the world. Kama ulichokisema hapo ni kweli basi unajua mengi sana[emoji122] [emoji122]
 
I assure you have something crutual to tell the world. Kama ulichokisema hapo ni kweli basi unajua mengi sana[emoji122] [emoji122]

Hana jipya angekua na jipya angeandika uzi wake humu kabak analia lial humu utadhan hum kuna mahakama inatoa haki
 
Wewe jamaa mkali wa siasa za maziwa makuu ulipotelea wapi mpaka watu wakaanzs speculation kbao,it's nice to have you back, karibu kwa michango kwny huu uzi
 
Great thinker umepotea sana jukwaani.... We ni moja kati ya experts wa hii topic naowafaham humu jukwaani kuna uzi mmoja alianzisha kibanga dah mlishuka facts na data tupu zilizoshiba kwakweli tulijifunza mengi sana.... Happy to have you back Great thinker
 
Wewe jamaa mkali wa siasa za maziwa makuu ulipotelea wapi mpaka watu wakaanzs speculation kbao,it's nice to have you back, karibu kwa michango kwny huu uzi


Asanteni wakuu ni majukumu tu.
 
mnapocommend kumbukeni kuwa kuna wanyarwanda wamejaa kibao hapa bongo ,na wanafanya kazi ya kupata information ya nani anazungumza nini kuhusu kagame na nani anatoa kauli kma za victoire ingabire za kuwa waliouawa sio watutsi tu bali na wahutu pia waliuawa.usije jikuta umeenda rwanda then ukakamatwa,pona yenu ni kuwa hamtumii majina halisi
 
Kwa hio unatushaurije
 
 
binti wa kitutsi mimi Wala siangaigaki Na comment zako Bali hayo mapaja yako. Fikiria nimelala chali halafu unanikalia usoni ukiwa mtupu
 
Ahsante kwa taarifa, kwanza kabisa nahitaji unielimishe role ya RTML station, Kangura newspaper and Akazu in contrast to your facts bila kusahau uwiano kati ya info uliyotupatia na ukweli kwamba kati ya watuhumiwa wote 61 were convicted, 33 still serving their sentences, 22 completed theirs and 6 died while serving. Tufahamishe/tuelimishe.
 
Hizi sababu umeziskia wapi...

Haya ndo matokeo ya watu kama akia huyu Habib Aka the Bold. Wanaandika viatu vya uongo ambavyo implications yake ni watusti kujifanya wanaakili.

Kumbe zero kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…