Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Wewe jamaa bana. Tofautisha war propaganda and war plan.

Hizo news outlets zilifanya propaganda kupata mass support.

Rejea Kagera War.

Tz tulifanya propaganda kibao against Amin mfano Idd Amini anatupa vile MTO Nile nk.

Issue is Serikali ya Habyalimana haikupanga na kuanandaa mauaji dhudi ya Watusi.

Ndo maana waandishi pro genocide kama huyu Habib hukimbilia kusema Genocide ilipangwa na kikundi et Akazu.

Wanajua ukisema serikali utahitajika kutoa fact ya vikao na etc.

Anyway.
 
Hizi sababu umeziskia wapi...

Haya ndo matokeo ya watu kama akia huyu Habib Aka the Bold. Wanaandika viatu vya uongo ambavyo implications yake ni watusti kujifanya wanaakili.

Kumbe zero kabisa

Acha kutokwa povu kwa mambo ya kawaida haya andika wewe basi isio ya ukweli uzi ujaisha tayari povu
 

Acha upumbavu wewe Mtanganyika umefika kua na akili ndogo hivo pa1 na ujinga wako humu Mr.Paul Kagame Yupo humu anasoma ila anaona hamna akili ukitaka ID ake sema.
 
Hazifunguki kwenye computer sio simu...
Nilishindwa kuisoma kwenye computer ikabidi nitumie simu....
 
Sehemu inayofuata unatuletea lini mjomba
 
1. sijaelewa hivyo vyombo vya habari na the so called Akazu vina uhusiano gani na hii fact kwamba there was no conspiracy to genocide labda unifafanulie.
2. Hao unaosema wamekuwa convicted, walifungwa kwa mashtaka gani? Tunachoongelea hapa ni conspiracy to genocide, yaani kosa la kupanga njama za kuua watusi, shitaka hilo ndilo mahakama imefuta. Mahakama imesema kuwa HAKUKUWA NA MPANGO wa kuua watutsi. Kwa hiyo hao waliofungwa na ICTR wamefungwa kwa makosa mengine sio kosa la conspiracy to genocide.
 
Kwa namna yoyote ile....vyovyote vile iwavyo, Wenzetu walipita kwenye vipindi vigumu sana. Can you imagine mtu anakuwa slaughtered kama kuku jogoo wa kule shamba.
 
Kwa namna yoyote ile....vyovyote vile iwavyo, Wenzetu walipita kwenye vipindi vigumu sana. Can you imagine mtu anakuwa slaughtered kama kuku jogoo wa kule shamba.
Waliyataka wenyewe acha wachinjwe.... Ungeona wahutu walivyoteswa usingediriki kuonea huruma watutsi.... Jamaa walikuwa mpaka wanawabeba na wanakula makombo yao ya chakula yaani walikuwa watumwa wao hata kusoma shule tu mpaka uwe na connection na mtutsi alafu ndio mnawaonea huruma hao MENDE!!!
 
Hizi sababu umeziskia wapi...

Haya ndo matokeo ya watu kama akia huyu Habib Aka the Bold. Wanaandika viatu vya uongo ambavyo implications yake ni watusti kujifanya wanaakili.

Kumbe zero kabisa

Wewe kwanza ata kuandika vizuri hujui, ila bado unamkosoa mleta mada, embu hakikisha kwanza unaondoa ujinga wa kujua kusoma na kuandika alafu ndio uje tena... Kama kaandika uongo umesikia hapa tunataka tunagawa marks? Wewe kama nani unamkosoa? Umeitwa? Embu fungua thread yako useme ukweli wako.
 

Hahahahahaha kaka umevuka mipaka, hapa sasa umenifanya nifute maneno yako ya juu uliyokua umeniaminisha, kumbe tayari ulikua umeshachagua upande? Which means una interest nao na ni either your one of them, lakin sio mbaya africa ni moja.

Haya embu niambie ni nani alie sababisha genocide? Je hakukua na njia nyingine tofauti na mauaji? Inakuaje mpaka kukawa na chuki kali hivyo dhidi ya wenzenu?

Kaka waswahili tunasema "ukichoka kutunza siri fumaniwa yaishe" hapa nimekufumania kaka hahahahahahaha umeonesha chuki ya kufa mtu.
 
Mkuu zito junior!!! Umepatikana sasa wewe unasema umeishi maziwa makuu ila umeishi kwa kupinga na kuponda saana!! Wanaongelea maji wewe umeshupalia uji, kwa hiyo wahutu waliouwawa mwaka 1998 baada ya kuingia nchini wakitokea Congo?? Ebu tulia usome kama tunavyosoma sisi!! Kumbuka wote wanaokimbia nchi kama Akina nyamwasa ni sababu ya kutaka ututsi uendelee ila kagame anataka serikali Sawa kwa wote!!

Naomba utulie tuendelee kujisomea thread ya bold wewe upo unatujazia tuu kwa mihemko yako ya kutopenda watutsi!! sisi huku tunasoma na kushare kila kitu scholarship tu napata wote!! Cjui uhutu na ututsi hatunaga ushaishaga
 
Kama haya ndio madai ya wahutu mpaka wakawauwa watusi basi wahutu mnasumbuliwa na inferiority complex, kama tatizo ni kula mabaki, connection za shule nk. Tokea 1959-1990 mlikuwa na serikali na kila kitu so why kill Innocent people?
 
SWALI KUU: Hivi ni kweli wtz sisi hatujui wanamoishi viongozi wa ccm??? Kwa nn tunkubali kizembe hivi tunuawa kuteswa na kufnyiwa kila baya lkn tumekaa kimya wkt hao mbwa tunishi nao.....KWA NN TUSIANZE KUZAA NA VIONGOZI WOTE WA CCM PALE WALIPO MPAKA WAACHE KUTUUA?
ccm wanalazimisha sana vita sijui watapata faida gani
 
Yawezekana mnauana nyinyi wenyewe na kuwasingizia polisi ili kujipatia umaarufu wa kisiasa
 
Hahahahahahaa nina upande of course.... Huwa nawatetea wahutu mkuu hata kma waliua watutsi at some point kikatili ila dah walipigika ni sawa na leo usikie wajaluo wamechinja wakikuyu kenya au wagganda wamechinja wanyankole uganda sitashangaa sababu wameonewa sana.... Shida watu wanafikiri wahutu waliamka asbuhi tu na kuchinja no they had reasons... Waliteswa sana

Mkuu wa tutsi nimekaa nao wana dharau sana na kujiona bora kuliko wengine... Watutsi wa uganda yaani wahema huwa wanawaita makabila mengi ya wabantu kule kuwa ni WANYAMA yaani ABAKOKO... 90% ya kazi kuanzia airport mpaka shuleni hadi serikalini zipo chini ya watutsi/wanyankole wa uganda yaani kabla hujapewa kazi uganda wanaangalia pua just imagine!!

Ukifika Rwanda leo hii serikali nzima biashara na uchumi uko mikononi mwa watutsi!! Wahutu wenyewe wanasindikiza tu ila hawana mtu mwenye ushawishi wote wanakandamizwa sasa kwa staili hii unafkiri ikitokea genocide tena kuna mtu wa kuhurumia watutsi??

Sipendi wauane ila staki unafiki kiukweli watutsi walistahili walichopata na hata burundi wanapata walichostahili huo ndio ukweli
 
Kama haya ndio madai ya wahutu mpaka wakawauwa watusi basi wahutu mnasumbuliwa na inferiority complex, kama tatizo ni kula mabaki, connection za shule nk. Tokea 1959-1990 mlikuwa na serikali na kila kitu so why kill Innocent people?
Nope yaani mwaka 1957-59 walikuwa wanateswa kuna ukame ulitokea chakula kikawa kinagawiwa kwa watutsi tu kma sio muhutu kifo kinakuhusu hivyo wakajikomboa sasa hayo ndio naongelea yalishajenga chuki ni sawa na mapinduzi ya zanzibar pale watu weusi walipoona kma wanakandamziwa na waarabu

Hivyo 1994 walipoona watutsi wanavamia nchi yao wakajua mambo ya 1959 kurudi nyuma yatajirudia tena ndio maana wakawaua watutsi wengi sana (of course watutsi nao waliua wahutu)

hivyo sababu sio inferiority complex ila ni sawa leo wazanzibar weusi waone sultan anarudi si lazima wataanza vita tu au waisraeli waone Nazi inakuja kuwavamia si lazima wataanza kujihami pia!!!

So chanzo ni historia mkuu..... Ukikaa na wazee wakihutu wakusimulie maisha kabla ya uhuru utatoka machozi hutodiriki kuwaonea huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…