Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Eti mfereji wa damu uendao ethiopia...wakati kwanza sio mrefereji ni mto,na unapitia nchi kibao mpaka kufika baharini mediteranean..why ethiopia is mentioned kwenye heading?

Mbwembwe tupuuu!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwahiyo unataka kupakwa lipstick au kuolewa
 
Asante kwa Sehemu ya 13 , huyu Marekani amehusika katika mengi sana bila shaka hata Somalia ndie aliyeiangusha.

Kwa uzi huu nmejua mengi yanayofikirisha kwa hakika. Hata sasa nawezajua kwanini Mseveni na Kagame hawang'oki

Wasiwasi wangu ni pale Rwanda naona utawala bado wa kitusi unaendelea kama miaka ya awali ina maana kuna moto umefukiwa kwa Muda tu wahutu watadai tena haki. Nimewaza akifa ghafla leo Kagame paaap. What next?

Kwa mpk ulipofikia hapa ukweli ni issue Ya Rwanda haijawa solved mpk leo.

Namuona kagame kama Rais yule Mhutu aliedunguliwa kwenye ndege katika utawala wake miaka ya awali...

Tuombe uzima...
 
Kwahiyo watusi sio Kabila pia?
 
Kwani waziri mkuu wa sasa si mwenzenu? Au wee watakaje labda?
 
Mkuki kwa nguruwe hahahaaaa unasahau unavyowaporomoshea matusi wenzako?? Kweli kunguru hafugiki[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kumbe naye anajua lugha ya staha leo [bcolor=rgb(243, 252, 252)]πŸ˜€πŸ˜€[/bcolor][bcolor=rgb(243, 252, 252)]πŸ˜€[/bcolor]
 
Kwani waziri mkuu wa sasa si mwenzenu? Au wee watakaje labda?
Teh teh ili kuzuga kwamba wahutu wapo serikalini??? Muwape 50:50 sababu wao ndio majority sio ustaarabu huo kutawala kila kitu hata kagame inafaa ampishe mhutu at least one term sio mnatawala urais for 20 years now hamtaki kuwaachia wenzenu sio ustaarabu kabisa
 
Kwahiyo watusi sio Kabila pia?
Watutsi sio kabila ila naandika hapa ili tuweze kueleweka nani ni nani hapo rwanda...... Ila kabila la watutsi ni WAHEMA hao wapo nchi zaidi ya 9 hapa Afrika!! So it's all the same watutsi kwenu ni ethiopia period huko rwanda mlivamia tu kusaka mazao ya wanyama!
 
Huu uzi nafuatilia kwa tabu sana nikifungua nakutana na kelele nyiiingi yani hata muendelezo wa the bold kuupata kijasho kimenitoka nachoona waliokwepa genocide Na watoto wa aftermath ya genocide wanabishana humu kaaazi kwelikweli
 
Kwanini familia yako ilikimbia rwanda?
 
Siasa sio mapenzi kwamba turidhishane, pia hakuna majaribio kwenye kuongoza nchi taratibu jirani
 
Kwani wabantu kwao ni wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…