Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Proudly Rwandese Sheeenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya next month ntakua Virginia tuombe uzima.


Jstikilla

"Sheenzi" inahusika nini hapo?Mbona unaonesha ujinga wako kiasi hiki?

Nakusoma Muisrael=Mu-Eritrea=Mu-Ethiopian=Mu-Rwanda=M-Somali=etc,etc...Kitakachofuata utasema nyie ni Wazungu caucasians...Hahahahaaaaaaa..Mungu wangu!
 
Jstikilla

"Sheenzi" inahusika nini hapo?Mbona unaonesha ujinga wako kiasi hiki?

Nakusoma Muisrael=Mu-Eritrea=Mu-Ethiopian=Mu-Rwanda=M-Somali=etc,etc...Kitakachofuata utasema nyie ni Wazungu caucasians...Hahahahaaaaaaa..Mungu wangu!

Umeanza kututabiria tena we n shekh yahya au sio uko US lala muda huu
 
Well said mkuu.... Naona umemwaga nondo haswaaa....Post bora kabisa kwenye huu uzi

Big up
 
Proudly Rwandese Sheeenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya next month ntakua Virginia tuombe uzima.
Haha ujinga wako unazidi kudhihilika. Dogo Tz ni taiga lililoanzishwa katika msingi ya equity and equality. Hizo suprioty zenu za kitusti pelekeni huko kwenye makaburi yenu
 
Mh!!! nilidhani waliopungukiwa na akili ni mtaani tu!! kumbe na huku wapo ( Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.
Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.)
 
Huu ulikuwa ni uuwaji tu, kama kweli nia yao ilikuwa kuwarudisha (Watutsi) Ethiopia ambako hata marastafari wa jamaika walipewa mkoa (Sheshamane) ile fedha waliyonunulia mapanga wangeweza kabisa kukodi vyombo vya usafiri.
Siwalaumu, kuitwa mhutu ni tusi Kama kuitwa mbwa kipindi hicho cha kupata Uhuru
 
Mh!!! nilidhani waliopungukiwa na akili ni mtaani tu!! kumbe na huku wapo ( Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.
Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.)
Mkuu umechanganya madesa
 
Siwalaumu, kuitwa mhutu ni tusi Kama kuitwa mbwa kipindi hicho cha kupata Uhuru
Ilikuwa ni chuki iliyokuwa imepandikizwa tu,"inyenzi" mathalan lilikuwa ni jina lililokuwa linatumika katika vyombo vya habari,sijawahi kusikia mhutu akiitwa "umbwa" wakati ule msema kweli mpenzi wa mungu.
 
Ilikuwa ni chuki iliyokuwa imepandikizwa tu,"inyenzi" mathalan lilikuwa ni jina lililokuwa linatumika katika vyombo vya habari,sijawahi kusikia mhutu akiitwa "umbwa" wakati ule msema kweli mpenzi wa mungu.
Yeah ogopa sana kupandikizwa chuki, ni rahisi kuambukizana chuki kuliko kupendana
 
Utabiri ni ule ulee kwamba siku yaja mtaanzaa kuchinjana tena km kuku ngoja huyo dkteta uchwara wenu adondokee...

Kwenu Tz mbona huyo president anapandikiza chuki dhidi yenu nadhan mtaanza nyie kuchinjana na mmeanza kuletea uchadema na uccm ila hamjui muda ndo msemakweli
 
Haha ujinga wako unazidi kudhihilika. Dogo Tz ni taiga lililoanzishwa katika msingi ya equity and equality. Hizo suprioty zenu za kitusti pelekeni huko kwenye makaburi yenu
Aaaah kuna mjadala mzuri hivi halafu nimeukosa daaah. Nakumbuka Wanyarwanda pale ICTR walikuwa hawanipendi kweliii kisa haya mambo. Hii issue ilitoa uhai wa Prof Mwaikusa masikini (May he rest in Peace)
 
Aaaah kuna mjadala mzuri hivi halafu nimeukosa daaah. Nakumbuka Wanyarwanda pale ICTR walikuwa hawanipendi kweliii kisa haya mambo. Hii issue ilitoa uhai wa Prof Mwaikusa masikini (May he rest in Peace)
Afadhali mkuu umetia timu na huku.... embu mwaga nondo kuhusu kilichotokea 1994 maana kuna vitu vingi vinafichwa kuhusu Rwanda civil war
 
Utabiri ni ule ulee kwamba siku yaja mtaanzaa kuchinjana tena km kuku ngoja huyo dkteta uchwara wenu adondokee...
Inaelekea majirani zetu mnatamani sana kuona nasi tukichinjana.....! Ama kweli, mfadhili nyani umpe boga,binadamu atakuroga.
Kwenu Tz mbona huyo president anapandikiza chuki dhidi yenu nadhan mtaanza nyie kuchinjana na mmeanza kuletea uchadema na uccm ila hamjui muda ndo msemakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…