Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,960
Hovyo kuliko hovyo
Proudly Rwandese [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hovyo kuliko hovyo
Hivi kuna cha kuwa proud ktk ka kijiji?Proudly Rwandese [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kuna cha kuwa proud ktk ka kijiji?
Hata unachokiongea hukijui, hii dunia haiongozi na confidence bali akili, wenye hiyo confidence hutumiwa na wenye akili. Jidanganyene, ila kulikuwepo na movie iliitwa kwa jina la mapanki.Sisi tupo duniani sio hapo kwenye Makinikia Nyie waswahil ushamba umewajaa ndio maana hamuwezi kuish sehem ingine sabab hamna confidence kuzoea maisha ya kujua juana na umbea.sisi kama Wa israel popote kambi ila tunajenga nyumbani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Proudly Rwa..
Hata unachokiongea hukijui, hii dunia haiongozi na confidence bali akili, wenye hiyo confidence hutumiwa na wenye akili. Jidanganyene, ila kulikuwepo na movie iliitwa kwa jina la mapanki.
Intellesting........
Mlimpokea nani? Wanyarwanda wako world wide na popote tulipo tunakua vichwa na sio mikia, tunaakili nyingi kwakua tulikunywa maziwa tukiwa wadogo hata hapa povu linakutoka kwakuwa mnatuwaza sana!Yaani kukupokeeni mshafanya mnatujua sana,ipo siku kenge wanuka mikojo nyie
Hawa wajinga wanatamani kuwa wanyarwanda, there is a thin line between hate and love hata hapa wanavyoponda ni kujipunguzia tu uchungu moyoni, ukizaliwa mnyarwanda tayari wewe ni mshindi kwenye dunia hii na wao wanajua!Proudly Rwandese [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
https://jamii.app/JFUserGuide u..nani awawaze nyie mende,acheni kujikweza,panzi nyieMlimpokea nani? Wanyarwanda wako world wide na popote tulipo tunakua vichwa na sio mikia, tunaakili nyingi kwakua tulikunywa maziwa tukiwa wadogo hata hapa povu linakutoka kwakuwa mnatuwaza sana!
Hawa wajinga wanatamani kuwa wanyarwanda, there is a thin line between hate and love hata hapa wanavyoponda ni kujipunguzia tu uchungu moyoni, ukizaliwa mnyarwanda tayari wewe ni mshindi kwenye dunia hii na wao wanajua!
Banyarugwanda nsinzi... [emoji123] [emoji123] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
**** u..nani awawaze nyie mende,acheni kujikweza,panzi nyie
Samahani Mkuu, Mimi sijui lolote kuhusu Rwanda, labda kwakua kwetu hamna shida ndio maana sifatilii mambo ya majirani .Wacha watokwe povu tupo hap mpaka basi Raha sana We Proud kwakweli ila kinauma wao kila siku hawana ajenda mara nchi ndogo mara Kagame mara sijui tunaiba kongo hizi hekaya zipo kila siku hili la Kongo na wao wapo kongo kama kuna pesa za kuokota why wao wajaokota Proudly Rwandese.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
1-mikoa,majimbo wats the diff....???Samahani Mkuu, Mimi sijui lolote kuhusu Rwanda, labda kwakua kwetu hamna shida ndio maana sifatilii mambo ya majirani .
je huko Rwanda mna mikioa Kama sisi,
Je mbali na wahutu na warwanda huko kwenu kuna makabila mengine
Je vipi kuhusu lugha, mnatumia lugha gani
Je huko kwenu mnahudhuria misiba
Huyu JestKila ni ME au KE? Anaongea kama kazaliwa manirumango kitongoji cha mchambawima balozi wake atakuwa Kingwendu....hahahah sio mnyarwanda uyo
**** we demuNa ndio sisi wachache wenye akili nyinyi endeleeni kushea maji na wanyama [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Proudly Rwandese.
**** we demu