Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Una mtangazia nani biashara yako kwanza hauoshi

Umejuaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] proudly Rwa...
 
Hutu watakapo washughulikia tena musikimbile kuja kuomba hifadhi TZ.

Proudly Rwandese ushakua shekh yahya saa hii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] povu la baking soda hili nina chumvi hapa twende kazi
 
Jomba acha kuni-copy yani uzi zangu yani ndio unasafilia nyota ?


Huu uzi mm nishewahi kuuanzisha.

Cc the bord
 
Tutawanyooosha haswa na bado mpaka muumie kama mshenga karudisha posa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yani we dame toka uje Tz umekua kidanga kweli

Kwanza muda wa kuishi bongo usheisha rudini kwenu.
 
Jomba acha kuni-copy yani uzi zangu yani ndio unasafilia nyota ?


Huu uzi mm nishewahi kuuanzisha.

Cc the bord

Kama ulianzisha hapa unatafuta nin sasa The bold and Ontario Family wanakufanya ushindwe kukaa vizuri utaumia ka umeshika Rejeta ya Basi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani we dame toka uje Tz umekua kidanga kweli

Kwanza muda wa kuishi bongo usheisha rudini kwenu.

Tz nipogo miaka yote utajuuuta njoo home uje kunitoa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Na ndio sisi wachache wenye akili nyinyi endeleeni kushea maji na wanyama [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Proudly Rwandese.
Kuna mti unaitwa mnazi, matawi yake yanaitwa makuti, huanza kukauka yale yaliyo wahi kutokea, kwa mkwezi kuti la mwanzo ni la hatari kuliegemea. Rwanda imeegemea kuti la kwanza. Hongereni kwa mabomba ya asali na maziwa yaliyosambaa nchi nzima. Ila la msingi anzeni kuijenga nchi yenu lije liwe taifa. Mabomba hayo yasije tiririsha usaha na damu.

Kwa viongozi makini ktk nchi makini, hilo huwa jukumu lao la kwanza kupita yote, ustawi wa jamii bila ya amani ni ndoto tu za usingizi wa mchana, haukawii kwisha.
 
Kuna mti unaitwa mnazi, matawi yake yanaitwa makuti, huanza kukauka yale yaliyo wahi kutokea, kwa mkwezi kuti la mwanzo ni la hatari kuliegemea. Rwanda imeegemea kuti la kwanza. Hongereni kwa mabomba ya asali na maziwa yaliyosambaa nchi nzima. Ila la msingi anzeni kuijenga nchi yenu lije liwe taifa. Mabomba hayo yasije tiririsha usaha na damu.

Kwa viongozi makini ktk nchi makini, hilo huwa jukumu lao la kwanza kupita yote, ustawi wa jamii bila ya amani ni ndoto tu za usingizi wa mchana, haukawii kwisha.

Ukiacha kula maharage ya mbeya utaacha weweseka juu ya Rwanda,Vp mshatubu.????
 
duh!! hii nchi kweli ina watu wengi sana!! wa kila aina!!
 
Back
Top Bottom