Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Mkuu ni hivi watutsi baada ya kutandikwa mwaka 1957-59 wakakimbilia ugenini sasa wakataka kurudi rwanda kwa mabavu..... Na ndio shida hiyo hivyo walivyorudi rwanda ndio wakaanza kuua wahutu na hapo ndipo wahutu wakajua watutsi wanataka kuwatawala tena ndio maana nao wakajibu mapigo kwa kuanza kuwachinja na nimesema wazi hata kule ICTR watutsi walikiri waliagizwa na kagame kuchinja wahutu wote watakaokutana nao na nmeshattach hapa hyo confession

2. Kweli ni wanyarwanda ila mbona wahutu waliopo congo mnawabana wasirudi na silaha mnataka waweke chini waje kma raia ilihali nyie hamkurudi as civilians ila mlirudi kama jeshi..... Hilo ndio lilipelekea genocide afterall mazungumzo ya Arusha waliwapa ruhusa mrudi kma raia lakini ghafla mkaja na masilaha na kuanza vita sasa ulitegemea wahutu wawachekee chekee

NB: najua ulikuwa hujazaliwa ila mziki wa wahutu usingeuweza na hata leo wamewazidi number sema tu wamekosa kiongozi..... Ila siku wakipata viongozi mtanyooshwa zaidi ya 1994
Yani wewe unaona sawa kabisa mababu zetu kupigwa, kuuwawa, kukimbizwa na kufukuzwa kwenye taifa lao, lakini huon kama ni sawa pia wazazi wetu kurudi kwenye taifa lao


Kama unadhan wahutu hatuwawezi/tusingewaweza, ni nani alioko madarakani? aliingiaje???


walitutimua tukarud tukachukua kilichokua chetu, na ukumbuke tu, kabla hawajatutimua miaka ilee, sisi ndio tulikua watawala
 
A
Dah mkuu kuna maswali mengi kuliko majibu tusubiri tu labda Habibu B. Anga anaweza akakata kiu yetu kwenye huu uzi wake ingawa amenimaliza pale aliposema "kagame aliwakataza wasiue raia yoyote kwenye vijiji wanavopita"..... Yaani ashaonyesha kwamba watutsi hawakuua Mhutu ila baadae akasema ''Wahutu wakaanza kutesa watutsi maeneo mengine ya Rwanda''

Yaani wahutu ndio wabaya alafu watutsi ndio masteringi!!! Sasa najiuliza Kma walikua hawaui wahutu kivp tena aseme wahutu walikimbia mji wa ruhengeri wengine wakaenda congo wengine wakimbizi wa ndani??? Hapo nako kuniacha njia panda i hope ataona anisaidie na majibu

Cc: Habibu B. Anga
Atakua anachukua tahadhari maana bwana yule akimtaka ni dk sifuri. Yule mwenzie aliye leta waraka humu hatunaye tens.
 
Yani wewe unaona sawa kabisa mababu zetu kupigwa, kuuwawa, kukimbizwa na kufukuzwa kwenye taifa lao, lakini huon kama ni sawa pia wazazi wetu kurudi kwenye taifa lao


Kama unadhan wahutu hatuwawezi/tusingewaweza, ni nani alioko madarakani? aliingiaje???


walitutimua tukarud tukachukua kilichokua chetu, na ukumbuke tu, kabla hawajatutimua miaka ilee, sisi ndio tulikua watawala
Taifa lenu??? Burundi ni ya wabantu sio ya wacuishite mkuu..... Na mimi sina shida na watutsi kutawala rwanda maana hta mmi chuoni na high xkul nliwapigia kura watutsi kuniongoza na nlikuwa kwenye timu ya kampeni but shida yangu ni kwamba kuwatesa wenzenu wahutu

Mkirudi hamna shida ila msiwatese wenzenu mbona burundi kina pierre buyoya na UPRONA hawakutesa wahutu na waliweka uchaguzi ambapo mhutu alishinda na wakamuachia madaraka kwa amani..... Na leo hii vurugu la wahutu na tutsi burundi ni kidogo sana je hamjifunzi kwa wenzenu we urundi???
 
Mwandishi amemsifia Mr slim mwanzo mwisho. Kana kwamba hakuna kosa alifanya Mr slim wala hakuua wahutu. Mwandishi amefikia hatua ya kusema Kuwa Mr slim aliwazuia RPF wasiue muhutu hata mmoja. Nadhani anaogopa kusema ukweli
 
Mwandishi amemsifia Mr slim mwanzo mwisho. Kana kwamba hakuna kosa alifanya Mr slim wala hakuua wahutu. Mwandishi amefikia hatua ya kusema Kuwa Mr slim aliwazuia RPF wasiue muhutu hata mmoja. Nadhani anaogopa kusema ukweli
Mkuu Hongera kwa kuliona hilo maana mwandishi anasema Tofauti kabisa na RPF walichokiri mahakama ya ICTR kuwa walipewa order ya kuua wahutu watakaowaona mbele yao

Soma apo chini
 

Attachments

  • rwanda-soldier-testimony-ICTR.jpg
    rwanda-soldier-testimony-ICTR.jpg
    58.7 KB · Views: 83
Mkuu Hongera kwa kuliona hilo maana mwandishi anasema Tofauti kabisa na RPF walichokiri mahakama ya ICTR kuwa walipewa order ya kuua wahutu watakaowaona mbele yao

Soma apo chini
Mwandishi ni muoga, na kwa namna hiyo hakupaswa kuandika ilihali anaogopa. Muhutu na mtusi ni kama mpalestina na muisraeli. Kila anaepata nafasi dhidi ya mwenzake anaitumia. Fullstop
 
Mwandishi ni muoga, na kwa namna hiyo hakupaswa kuandika ilihali anaogopa. Muhutu na mtusi ni kama mpalestina na muisraeli. Kila anaepata nafasi dhidi ya mwenzake anaitumia. Fullstop
Mkuu, hebu tuonyeshe ujasiri wako kwa kuandika unachokifahamu!
 
Kama n kiume utakua mmbea sana na muda mwingi unashinda na shangazi zako sio bure utaolewa shauri ako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakushauri uende mirembe kabla hujazidiwa naona mda tu utaenda kuokota makopo au nenda kamwone daktari wa akili ulipo una tatizo kubwa ila hujielewi.POLE SANA MUNGU ATAKUSAIDIA
 
Doooh Bold embu leta sehemu ya tisa, Bonge moja la history. Ubarikiwe kwa hili kaka.

Sasa yaani mim ndio nimeisoma leo mpaka hapo ulipoishia na ghafla nimejikuta nawachukia sanaa wahutu kwa kiwango cha kutisha sanaa, je wenyewe kwa wenyewe wanaishije huko? Unawezaje kuishi na mtu aliekuulia wazazi au ndugu zako? Kama ni kweli jamaa ni either malaika au wanafiki sanaa... Yaani umuue mwenzako kisa kabila? Kisa anapenda shule wewe hupendi? Kisa ana akili? Daaah haya ni maajabu makubwa.

Kuna wapumbavu wanataka kuuaribu uzi huu, na wanaonekana wana interest zao na ukiangalia maneno yao kwa ukaribu unaona kabisaa hawa ni wahutu basi tu wanashindwa kusema, wewe sijui zitto wewe ni muhutu unatafta namna ya kukwepesha mambo hasa matumizi makubwa ya nguvu unayoyaonesha hapa hayakua na ulazima na sio kitu cha kawaida kama hauguswi moja kwa moja, kwa hakika uhutu ni jambo baya sanaa hasa kama waliua wenzao kwa sababu hizo.

Kagame nae ana moyo, ni kwanini nae asingeuua wahutu wote? Hahahahaha mim sio mnafiki aisee yaani ningekua yeye na mtu wa kabila lake ni lazima ningelipa kisasi kwa kuua wahutu wote hata kwa mabomu ya kibaiolojia na kuathiri vizazi vyao na kutengeneza ukichaa kwenye jamii zao, doooh jamaa anaua baba ako au mama ako kwa panga? Yeeesuuu ningetafuna mifupa yootee... Anyway Mungu akaisimamie Rwanda isirudi tena uko ilikotoka.
 
Huyu Jestkilla na wasiwasi ,anaweza kuwa ndo Mange kimambi pengine hatujui tu [emoji41] [emoji41] [emoji41]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Mange hampend kagame
 
Doooh Bold embu leta sehemu ya tisa, Bonge moja la history. Ubarikiwe kwa hili kaka.

Sasa yaani mim ndio nimeisoma leo mpaka hapo ulipoishia na ghafla nimejikuta nawachukia sanaa wahutu kwa kiwango cha kutisha sanaa, je wenyewe kwa wenyewe wanaishije huko? Unawezaje kuishi na mtu aliekuulia wazazi au ndugu zako? Kama ni kweli jamaa ni either malaika au wanafiki sanaa... Yaani umuue mwenzako kisa kabila? Kisa anapenda shule wewe hupendi? Kisa ana akili? Daaah haya ni maajabu makubwa.

Kuna wapumbavu wanataka kuuaribu uzi huu, na wanaonekana wana interest zao na ukiangalia maneno yao kwa ukaribu unaona kabisaa hawa ni wahutu basi tu wanashindwa kusema, wewe sijui zitto wewe ni muhutu unatafta namna ya kukwepesha mambo hasa matumizi makubwa ya nguvu unayoyaonesha hapa hayakua na ulazima na sio kitu cha kawaida kama hauguswi moja kwa moja, kwa hakika uhutu ni jambo baya sanaa hasa kama waliua wenzao kwa sababu hizo.

Kagame nae ana moyo, ni kwanini nae asingeuua wahutu wote? Hahahahaha mim sio mnafiki aisee yaani ningekua yeye na mtu wa kabila lake ni lazima ningelipa kisasi kwa kuua wahutu wote hata kwa mabomu ya kibaiolojia na kuathiri vizazi vyao na kutengeneza ukichaa kwenye jamii zao, doooh jamaa anaua baba ako au mama ako kwa panga? Yeeesuuu ningetafuna mifupa yootee... Anyway Mungu akaisimamie Rwanda isirudi tena uko ilikotoka.
Can't imagine nchi ipate kiongozi mwenye roho km yako, ni hatari sana hii.

Ww Badala ya kuwaunganisha watu Ndio unataka kuwaua? Do u think utaweza kuua wote na Ww na kizazi chako mkabaki Salama?

Always msamaha na reconciliation ni kitu Mhimu sana.
 
Doooh Bold embu leta sehemu ya tisa, Bonge moja la history. Ubarikiwe kwa hili kaka.

Sasa yaani mim ndio nimeisoma leo mpaka hapo ulipoishia na ghafla nimejikuta nawachukia sanaa wahutu kwa kiwango cha kutisha sanaa, je wenyewe kwa wenyewe wanaishije huko? Unawezaje kuishi na mtu aliekuulia wazazi au ndugu zako? Kama ni kweli jamaa ni either malaika au wanafiki sanaa... Yaani umuue mwenzako kisa kabila? Kisa anapenda shule wewe hupendi? Kisa ana akili? Daaah haya ni maajabu makubwa.

Kuna wapumbavu wanataka kuuaribu uzi huu, na wanaonekana wana interest zao na ukiangalia maneno yao kwa ukaribu unaona kabisaa hawa ni wahutu basi tu wanashindwa kusema, wewe sijui zitto wewe ni muhutu unatafta namna ya kukwepesha mambo hasa matumizi makubwa ya nguvu unayoyaonesha hapa hayakua na ulazima na sio kitu cha kawaida kama hauguswi moja kwa moja, kwa hakika uhutu ni jambo baya sanaa hasa kama waliua wenzao kwa sababu hizo.

Kagame nae ana moyo, ni kwanini nae asingeuua wahutu wote? Hahahahaha mim sio mnafiki aisee yaani ningekua yeye na mtu wa kabila lake ni lazima ningelipa kisasi kwa kuua wahutu wote hata kwa mabomu ya kibaiolojia na kuathiri vizazi vyao na kutengeneza ukichaa kwenye jamii zao, doooh jamaa anaua baba ako au mama ako kwa panga? Yeeesuuu ningetafuna mifupa yootee... Anyway Mungu akaisimamie Rwanda isirudi tena uko ilikotoka.
Ukitaka kujua Rwanda bado kuna fukuto la ukabila na chuki japo wanapretend kuhubiri amani na Upendo angalieni waliolike hii post ya huyu jamaa.
Aiseeee Mungu awasaidie msirudi mlipotoka.
 
Ukitaka kujua Rwanda bado kuna fukuto la ukabila na chuki japo wanapretend kuhubiri amani na Upendo angalieni waliolike hii post ya huyu jamaa.
Aiseeee Mungu awasaidie msirudi mlipotoka.

utaendelea kuiombea njaa sana Rwanda inasonga mbele kwa kasi ya 4G kwi kwi kwi kwi nyie Tz endeleeni kuchimba vyoo vya shule na kusubiri ela za makinikia
 
Back
Top Bottom