Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

SWALI KUU: Hivi ni kweli wtz sisi hatujui wanamoishi viongozi wa ccm??? Kwa nn tunkubali kizembe hivi tunuawa kuteswa na kufnyiwa kila baya lkn tumekaa kimya wkt hao mbwa tunishi nao.....KWA NN TUSIANZE KUZAA NA VIONGOZI WOTE WA CCM PALE WALIPO MPAKA WAACHE KUTUUA?
ccm wanalazimisha sana vita sijui watapata faida gani

be very carefull...

politic is a dirty game...na nilazima uwe mchafu na katili ili uweze kufit kwenye siasa

mwenyekiti wenu anajua siri ya hayo mauaji..

jiulize kati ya mwenyekiti na diwani yupi ni muhimili wa upinzani???

kwann umuue diwani na umuache mwenyekiti au hata mdee au hata mnyika??

amkeni mnachezewa mchezo na mwenyekiti wenu
 
be very carefull...

politic is a dirty game...na nilazima uwe mchafu na katili ili uweze kufit kwenye siasa

mwenyekiti wenu anajua siri ya hayo mauaji..

jiulize kati ya mwenyekiti na diwani yupi ni muhimili wa upinzani???

kwann umuue diwani na umuache mwenyekiti au hata mdee au hata mnyika??

amkeni mnachezewa mchezo na mwenyekiti wenu
Hapa sio mahala pake kuingiza siasa ila bado sijaona hoja uliyoongea hapa

Kama eti wanaua madiwani tu sio mnyika!! Lissu mbona alitunguliwa..... Ben saanane ni personal secretary wa mbowe leo hayupo duniani, vipi alphonce mawazo mwenyekiti wa mkoa??

Kuhusu mbowe kama kweli anawaua anafaidika na nini?? Mbona kata zote na majimbo hakupata hata moja sasa akiua anapata nini kma sio ruzuku itapungua !!!

Kama mbowe anaua viongozi wake basi jeshi la polisi ni dhaifu.... Ssa kma anaua watu na polisi inashindwa mkamata basi mko dhaifu sana na hamna uwezo wa kutulinda na kwa staili hii al shabaab ikija itatumaliza maana kma mbowe tu anawashinda sembuse professional murderers
 
Wewe jamaa bana. Tofautisha war propaganda and war plan.

Hizo news outlets zilifanya propaganda kupata mass support.

Rejea Kagera War.

Tz tulifanya propaganda kibao against Amin mfano Idd Amini anatupa vile MTO Nile nk.

Issue is Serikali ya Habyalimana haikupanga na kuanandaa mauaji dhudi ya Watusi.

Ndo maana waandishi pro genocide kama huyu Habib hukimbilia kusema Genocide ilipangwa na kikundi et Akazu.

Wanajua ukisema serikali utahitajika kutoa fact ya vikao na etc.

Anyway.

Nina was was mleta Uzi ameshikishwa chochote kitu atetee upande mmoja. Au ana totoz ya huko anakotetea.
Mtu kama yeye anayeonekana kama msomaji mkubwa Hawez kufanya makosa makubwa kama haya
 
Jamanii acheni tuu hawa viumbe wamependelewaa...
32bc2ce2d0999d4aee3829a032cd5633.jpg

VIP kama anaweza kukufanyia genocide mkilala?
 
Nina was was mleta Uzi ameshikishwa chochote kitu atetee upande mmoja. Au ana totoz ya huko anakotetea.
Mtu kama yeye anayeonekana kama msomaji mkubwa Hawez kufanya makosa makubwa kama haya

Ujinga kama huu hauvumiliki, wasi wasi wako kaa nao, kwani umeskia Bold ana lipwa hapa? Wewe nani kakuita hapa? Si ungesoma tu na ukaona ni uongo alafu ukaishia zako.

Wajinga wa hivi wana tu cost sanaa sisi tunaopenda kujisomea.
 
Ujinga kama huu hauvumiliki, wasi wasi wako kaa nao, kwani umeskia Bold ana lipwa hapa? Wewe nani kakuita hapa? Si ungesoma tu na ukaona ni uongo alafu ukaishia zako.

Wajinga wa hivi wana tu cost sanaa sisi tunaopenda kujisomea.

Acha ikukosti, hamna namna

Acha nisome chochote na popote. Na acha nifikirie vyovyote. Katika hili sky is the limit. Unafikiri ni Rwanda hapa?
 
Acha ikukosti, hamna namna

Acha nisome chochote na popote. Na acha nifikirie vyovyote. Katika hili sky is the limit. Unafikiri ni Rwanda hapa?
Ujue hata wahutu wanawabagua watusi sio kwamba watusi pekee ndo wanawabagua wahutu kwa mfano baada ya MAPINDUZI ya zanzibar waarabu walilazimishwa kuolewa na weusi kwa amri ya karume na kutokea machotara unaowaona sasa so kama tatizo ingekuwa ubaguzi wahutu waliokuwa na serikali wangelazimisha kuoana na watusi so kusingekuwepo na makabila haya tena kungekuwapo na watu waliochanganaya damu kama zenji na ubaguzi ungekoma ila pengine chanzo cha genocide ni kingine so habari ya kwamba wahutu walibaguliwa kabla sio sababu kuu ila imekuzwa tu
 
Acha ikukosti, hamna namna

Acha nisome chochote na popote. Na acha nifikirie vyovyote. Katika hili sky is the limit. Unafikiri ni Rwanda hapa?

Mtu akifa yeye hajijui kama amekufa, wanaoumia na kulia ni wengine, ni sawa sawa na mtu akiwa mjinga.
 
Ujue hata wahutu wanawabagua watusi sio kwamba watusi pekee ndo wanawabagua wahutu kwa mfano baada ya MAPINDUZI ya zanzibar waarabu walilazimishwa kuolewa na weusi kwa amri ya karume na kutokea machotara unaowaona sasa so kama tatizo ingekuwa ubaguzi wahutu waliokuwa na serikali wangelazimisha kuoana na watusi so kusingekuwepo na makabila haya tena kungekuwapo na watu waliochanganaya damu kama zenji na ubaguzi ungekoma ila pengine chanzo cha genocide ni kingine so habari ya kwamba wahutu walibaguliwa kabla sio sababu kuu ila imekuzwa tu

Umekosea kidogo mkuu

Hao machotara wa kiarabu unaowaona Hapa nchini wengi wao baba ni mwarabu na mama ndo mweusi au chotara. Nimewahi kusoma sehemu na naamini hivyo kuwa weusi wali kuwa wanaonekana wa chini sana kiasi mwanaume mweusi kumuoa binti wa kiarabu ilikuwa nadra nadra sana lakini kinyume chake mwarabu kumuoa binti mweusi ilikuwa ujiko kwa familia nyeusi. Nimewahi sikia mwanaume mweusi alikuwa anaweza kufikia kutaman familia yake ipate damu ya 'kiarabu' Rangi nyeupe.

Sasa sijui huyo mweupe akimpenda mkewe ilikuwaje. Fikiria mwenyewe

Usipime pale inapotokea Jamii Fulani kujiona au kuwa juu ya Jamii ingine. Hakuna kitu mbaya kama hiyo. Ni manyanyaso sana. Ni mbaya zaidi pale hiyo Jamii ya chini inapokuwa haina Njia au maarifa ya kunyanyuka kuja juu.

Hebu fikiria kama Nyerere asingefanya 'hila' za kupunguza kazi ya Yale makabila yaliyoonekana mwanzo kuwa wanakuja juu. SAA hizi wahaya, wachaga, na hao wachache ndo wangekuwa wanajiona ndo wenye nchi hii. Ndo kila kitu. Wamezaliwa kuwa juu ya wengine. Ni the chosen. Mungu yuko upande wao. Wengine wote ni shithole tu. Na huenda hao wengine wangeamini hivyo

Ingeweza kufikia akifa mtemi wa kihaya au kichaga anaenda kutafutwa Kijana wa kiluguru ili amsindikize kaburini, akawe Msaidizi wake. Kijana wa kiluguru anazikwa akiwa hai na mtemi wa the chosen tribe.

Nikisikia Jamii Fulani kujisikia kuwa juu ya wengine nafikiria mazingira kama hayo. Sijawahi fika Kwa hao majamaa
 
Umekosea kidogo mkuu

Hao machotara wa kiarabu unaowaona Hapa nchini wengi wao baba ni mwarabu na mama ndo mweusi au chotara. Nimewahi kusoma sehemu na naamini hivyo kuwa weusi wali kuwa wanaonekana wa chini sana kiasi mwanaume mweusi kumuoa binti wa kiarabu ilikuwa nadra nadra sana lakini kinyume chake mwarabu kumuoa binti mweusi ilikuwa ujiko kwa familia nyeusi. Nimewahi sikia mwanaume mweusi alikuwa anaweza kufikia kutaman familia yake ipate damu ya 'kiarabu' Rangi nyeupe.

Sasa sijui huyo mweupe akimpenda mkewe ilikuwaje. Fikiria mwenyewe

Usipime pale inapotokea Jamii Fulani kujiona au kuwa juu ya Jamii ingine. Hakuna kitu mbaya kama hiyo. Ni manyanyaso sana. Ni mbaya zaidi pale hiyo Jamii ya chini inapokuwa haina Njia au maarifa ya kunyanyuka kuja juu.

Hebu fikiria kama Nyerere asingefanya 'hila' za kupunguza kazi ya Yale makabila yaliyoonekana mwanzo kuwa wanakuja juu. SAA hizi wahaya, wachaga, na hao wachache ndo wangekuwa wanajiona ndo wenye nchi hii. Ndo kila kitu. Wamezaliwa kuwa juu ya wengine. Ni the chosen. Mungu yuko upande wao. Wengine wote ni shithole tu. Na huenda hao wengine wangeamini hivyo

Ingeweza kufikia akifa mtemi wa kihaya au kichaga anaenda kutafutwa Kijana wa kiluguru ili amsindikize kaburini, akawe Msaidizi wake. Kijana wa kiluguru anazikwa akiwa hai na mtemi wa the chosen tribe.

Nikisikia Jamii Fulani kujisikia kuwa juu ya wengine nafikiria mazingira kama hayo. Sijawahi fika Kwa hao majamaa
Thank you. Hii mentality ndo inaitafuna Rwanda and Burundi...
 
mkuu usisahau na ile ya mfereji ya damu mto msimbazi kuelekea coco beach
 
Umekosea kidogo mkuu

Hao machotara wa kiarabu unaowaona Hapa nchini wengi wao baba ni mwarabu na mama ndo mweusi au chotara. Nimewahi kusoma sehemu na naamini hivyo kuwa weusi wali kuwa wanaonekana wa chini sana kiasi mwanaume mweusi kumuoa binti wa kiarabu ilikuwa nadra nadra sana lakini kinyume chake mwarabu kumuoa binti mweusi ilikuwa ujiko kwa familia nyeusi. Nimewahi sikia mwanaume mweusi alikuwa anaweza kufikia kutaman familia yake ipate damu ya 'kiarabu' Rangi nyeupe.

Sasa sijui huyo mweupe akimpenda mkewe ilikuwaje. Fikiria mwenyewe

Usipime pale inapotokea Jamii Fulani kujiona au kuwa juu ya Jamii ingine. Hakuna kitu mbaya kama hiyo. Ni manyanyaso sana. Ni mbaya zaidi pale hiyo Jamii ya chini inapokuwa haina Njia au maarifa ya kunyanyuka kuja juu.

Hebu fikiria kama Nyerere asingefanya 'hila' za kupunguza kazi ya Yale makabila yaliyoonekana mwanzo kuwa wanakuja juu. SAA hizi wahaya, wachaga, na hao wachache ndo wangekuwa wanajiona ndo wenye nchi hii. Ndo kila kitu. Wamezaliwa kuwa juu ya wengine. Ni the chosen. Mungu yuko upande wao. Wengine wote ni shithole tu. Na huenda hao wengine wangeamini hivyo

Ingeweza kufikia akifa mtemi wa kihaya au kichaga anaenda kutafutwa Kijana wa kiluguru ili amsindikize kaburini, akawe Msaidizi wake. Kijana wa kiluguru anazikwa akiwa hai na mtemi wa the chosen tribe.

Nikisikia Jamii Fulani kujisikia kuwa juu ya wengine nafikiria mazingira kama hayo. Sijawahi fika Kwa hao majamaa
Watani zangu wakina wagambire....kokubanza,Rutashobya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hata kama mtu hana kitu Unakuta anajiskia vibaya mno, Dharau sasa hapo ndio usiwapimie utadhani Karagwe ana Gorofa....

Sema nmewazoea sana kwakua watani wangu,halafu hapa bongo tunachukulianaga poa tu ,ingekua kama unavosema wangeachwa watawale mbona tungeshakuwa kama watu fulani kitambo.....
Tumshukuru sana baba wa Taifa kwa kujifunza kupitia wengine... sisi so called marshal tribes ,watu wa mara tungezidi kulimbikizwa majeshini saivi tumepinduaga zamani...
 
Watani zangu wakina wagambire....kokubanza,Rutashobya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hata kama mtu hana kitu Unakuta anajiskia vibaya mno, Dharau sasa hapo ndio usiwapimie utadhani Karagwe ana Gorofa....

Sema nmewazoea sana kwakua watani wangu,halafu hapa bongo tunachukulianaga poa tu ,ingekua kama unavosema wangeachwa watawale mbona tungeshakuwa kama watu fulani kitambo.....
Tumshukuru sana baba wa Taifa kwa kujifunza kupitia wengine... sisi so called marshal tribes ,watu wa mara tungezidi kulimbikizwa majeshini saivi tumepinduaga zamani...
Shida ndo hiyo mentality tu. Kwao ukitazama history ilianza zamani before Colonialism. Wafalme wao waaaminisha Tusti are born ruler over Hutu. Mkoloni akaongezea kiberiti. My God it will kill them for thousands years.

Tz kinachotuokoa hakuna kabila lenye hiyo mentality. Ijapokuwa hatuko sawa ila its almost equal.

Kweli Marais wetu wote pia walipendelea pendelea kanda Fulani sema hakuna Mkoa umetoa rais Mara Mbili.

Ukiangalia Kaskazini ingawa hawajawahi kutoa Marais lakini ndiyo wametoa ma PM wengi wanne, Mawaziri na Makatibu wakuu na maboss wengi kuliko kanda yoyote ile.

In short Tanzania factor ingene huwezi Iona Rwanda au Burundi ,Ke hata UG ni muingiliano kwa Intermarriage na internal migration, Biashara ajira.

Rwanda ndoa kati ya Tusti na Hutu ni tata. Bongo ni swaga zako tu.
 
Shida ndo hiyo mentality tu. Kwao ukitazama history ilianza zamani before Colonialism. Wafalme wao waaaminisha Tusti are born ruler over Hutu. Mkoloni akaongezea kiberiti. My God it will kill them for thousands years.

Tz kinachotuokoa hakuna kabila lenye hiyo mentality. Ijapokuwa hatuko sawa ila its almost equal.

Kweli Marais wetu wote pia walipendelea pendelea kanda Fulani sema hakuna Mkoa umetoa rais Mara Mbili.

Ukiangalia Kaskazini ingawa hawajawahi kutoa Marais lakini ndiyo wametoa ma PM wengi wanne, Mawaziri na Makatibu wakuu na maboss wengi kuliko kanda yoyote ile.

In short Tanzania factor ingene huwezi Iona Rwanda au Burundi ,Ke hata UG ni muingiliano kwa Intermarriage na internal migration, Biashara ajira.

Rwanda ndoa kati ya Tusti na Hutu ni tata. Bongo ni swaga zako tu.
Kwanza Huo Muda wa Kujua Mh Mwigulu Nchemba katoka wapi unatoka wapi[emoji23][emoji23][emoji23]....
 
Habibu B. Anga


Ni kweli links hazifunguki.Hata ho ushauri wako wa kuscroll mpaka down hatuzikuti post husika.Na Mimi nimetumia zaidi ya simu 2 lakini hakuna tu.
Labda jaribu kutuambia kwa # post hizo ili tuzisake tu.Mods tusaidieni basi.
 
Kuna watu wawili humu walijifanya wana hoja mwishowe wakaonesha Rangi zao.na nyuzi juu ya Rwanda zimekua nyingi sana Jamii forums sijui wamepatwa na nini wadanganyika naskia magufuli kawakazia huko njaa ni kali haswa kupunguza machungu mnakuja kuanzisha nyuzi za Rwanda.Proudly Rwandese.
 
Back
Top Bottom