Historia ya mji wa Iringa

Tanya

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2013
Posts
340
Reaction score
159
Hello wadau,

Kwa yeyote anaejua historia ya mji wa iringa naomba atushirikishe, na majina mbalimbali na namna ilivyokuwa; kuna sehemu panaitwa kitanzini ilikuwaje na kina nani walinyongwa? Vita ya Mkwawa na Wajerumani, na mengineyo yanayohisiana na siasa, jamii na utamaduni.

AHSANTE KWA MCHANGO WAKO IN ADVANCE
 
Mtafute mzee mmoja anaitwa mwl. Mavika alikua wasa anamengi sana juu ya mkoa huo atakusimulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…