Hello wadau,
Kwa yeyote anaejua historia ya mji wa iringa naomba atushirikishe, na majina mbalimbali na namna ilivyokuwa; kuna sehemu panaitwa kitanzini ilikuwaje na kina nani walinyongwa? Vita ya Mkwawa na Wajerumani, na mengineyo yanayohisiana na siasa, jamii na utamaduni.
AHSANTE KWA MCHANGO WAKO IN ADVANCE
Kwa yeyote anaejua historia ya mji wa iringa naomba atushirikishe, na majina mbalimbali na namna ilivyokuwa; kuna sehemu panaitwa kitanzini ilikuwaje na kina nani walinyongwa? Vita ya Mkwawa na Wajerumani, na mengineyo yanayohisiana na siasa, jamii na utamaduni.
AHSANTE KWA MCHANGO WAKO IN ADVANCE