Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Usimsikilize Katelephone!Hivi sheria ya kuiwakikisha nchi nje ya nchi kwa mikutano au kazi maalumu kwa viongozi wetu wakuu haina muda maalumu? Kiongozi anaweza kuchukua per diem za siku ngapi?
Alikuwepo Mkata utepe mmoja aliyetokea Magharibi mwa kisiwa cha Kusadikika alikuwa mpole, mnyenyekevu na asiye na makuu yeye alijua tu kufanya kazi katika wafalme mbali mbali wa kisiwa hicho kilichoko mashariki mwa bara la giza
Umaarufu wa Mkata utepe ulivuma Sana alipopewa kazi ya kutunza kibubu cha kisiwa hicho kwani mfalme wa wakati huo alimwamini Sana kwa misimamo yake ya kutoyumba na uaminifu mkubwa
Baada ya Muda Mfalme yule alitwaliwa kwa Mwenye nguvu zote na Duniani na ulimwenguni na baadaye akaja malkia kama Mrithi wa kisiwa cha Kusadikika.
Malkia yule alimpa kazi ya kukata utepe na wazee wa kisiwa kile walimwambia Malkia kuwa mwanzoni mwa kalenda mpya Malkia inabidi Amwachie kiti cha enzi yule Mkata utepe na hatimaye mkata utepe awe mfalme wa kisiwa cha kusadikika kwa mwaka muongo 1 na miaka 2
Lakini kabla ya mkata utepe yule hajapewa majukumu ya kuwa mfalme wa kisiwa cha kusadikika ilibidi akutane kwanza na wazee wa enzi kumpa nguvu na kumuonyesha njia sahihi na namna ya kuongoza kile kisiwa cha kusadikika
Mfalme huyu alitokea baada ya masaa zaidi ya 2000 na tukio lile lilikuja kuwaacha Hoi waliokuwa wanaulilia ufalme wa kisiwa cha kusadikika na wategemezi wa Malkia aliyejaa siri nyingi na nzito waliangua kilio na walizimia baadhi yao kujiua
Hiyo ilikuwa ni Hadithi ya Kisiwa cha Kusadikika
Hii hadithi hii....Kwamba yupo sehem salama nje ya Kisiwa kafichwa ili kumkinga dhidi ya Wenye mpango wa kumuangamiza, ila baada ya muda atarejea kuchukua kisiwa.
Ha ha ha! hakuna lolote lile. Unanikumbusha enzi hizo. Nilipoishi kule kulikuwa na vitisho kuwa wanatumia majini na viumbe wa majini katika mazingara. Na kuwa uchawi wa bara haufanyi kazi. Tulikatazwa kwenda minazini wakati wa mchana. Wakidai ni wakati wa majini kutembea. Sikujali na mara nyingi nilikwenda minazini muda huo.Uchawi hauvuki maji, ukijaribi kuuvusha, unakuua wewe mwenyewe au unaufikisha ukiwa hauna nguvu, sababu kubwa, bahari Ina makazi ya viumbe wakubwa ambao wataunusa na kukufata katika mashua, na kuuliza kwa nini unapitisha mazingara na ushirikina katika himaya yao. Hapo kuna mawili, waipindue mashua, au waivunje nguvu dawa uliyobeba, au mafundi wafanye tambiko katikato ya bahari au ziwa.
Visiwa vinalindwa na hao viumbe.
Usimjaribu mtu wa visiwani kwa uchawi wa bara, utakwisha.
Ni kweli kapotea ama ameenda kufuata maelekezo zaidi kwa wenye enzi?Alikuwepo Mkata utepe mmoja aliyetokea Magharibi mwa kisiwa cha Kusadikika alikuwa mpole, mnyenyekevu na asiye na makuu yeye alijua tu kufanya kazi katika wafalme mbali mbali wa kisiwa hicho kilichoko mashariki mwa bara la giza
Umaarufu wa Mkata utepe ulivuma Sana alipopewa kazi ya kutunza kibubu cha kisiwa hicho kwani mfalme wa wakati huo alimwamini Sana kwa misimamo yake ya kutoyumba na uaminifu mkubwa
Baada ya Muda Mfalme yule alitwaliwa kwa Mwenye nguvu zote na Duniani na ulimwenguni na baadaye akaja malkia kama Mrithi wa kisiwa cha Kusadikika.
Malkia yule alimpa kazi ya kukata utepe na wazee wa kisiwa kile walimwambia Malkia kuwa mwanzoni mwa kalenda mpya Malkia inabidi Amwachie kiti cha enzi yule Mkata utepe na hatimaye mkata utepe awe mfalme wa kisiwa cha kusadikika kwa mwaka muongo 1 na miaka 2
Lakini kabla ya mkata utepe yule hajapewa majukumu ya kuwa mfalme wa kisiwa cha kusadikika ilibidi akutane kwanza na wazee wa enzi kumpa nguvu na kumuonyesha njia sahihi na namna ya kuongoza kile kisiwa cha kusadikika
Mfalme huyu alitokea baada ya masaa zaidi ya 2000 na tukio lile lilikuja kuwaacha Hoi waliokuwa wanaulilia ufalme wa kisiwa cha kusadikika na wategemezi wa Malkia aliyejaa siri nyingi na nzito waliangua kilio na walizimia baadhi yao kujiua
Hiyo ilikuwa ni Hadithi ya Kisiwa cha Kusadikika
Mpuuzi huyo.Mleta story unajifanya kuleta mafumbo kama kuongoza nchi hii kunahitaji akili nyingi sana. Hapa jeshi linatii rais yoyote aliye madarakani bila kujali kaingia vipi madarakani. Kwamba sijui kaenda wapi kufanya Nini, na nani ana Siri nyingi ni upuuzi mtupu.
Hizi ni story tu, zipo incidence za wachawi kutoka Tanzania kufanya voodoo huko Haiti na wanachukua skills za dark arts na black magic kuzileta huku. So indeed uchawi unavuka maji.Uchawi hauvuki maji, ukijaribi kuuvusha, unakuua wewe mwenyewe au unaufikisha ukiwa hauna nguvu, sababu kubwa, bahari Ina makazi ya viumbe wakubwa ambao wataunusa na kukufata katika mashua, na kuuliza kwa nini unapitisha mazingara na ushirikina katika himaya yao. Hapo kuna mawili, waipindue mashua, au waivunje nguvu dawa uliyobeba, au mafundi wafanye tambiko katikato ya bahari au ziwa.
Visiwa vinalindwa na hao viumbe.
Usimjaribu mtu wa visiwani kwa uchawi wa bara, utakwisha.
Nani kakuambia uwe mnyonge? Kataa unyonge, jiwe aliwafanya muone ufahari kuwa wanyongeKwa hali ya kisiwa ilivyo, tunahitaji Mfalme mwingine kwa kweli. Tuache uchawa na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa malkia aliyepo. Amefeli kwa kiasi kikubwa sana. Hali ya maisha inazidi kuwa ngumu hasa kwa wanyonge.
What's so special about him? Hana personality, influence, wala charisma ya Urais angebaki kwenye utendaji kama Gavana wa benki kuu au Katibu Mkuu kiongozi sio urais.Mfalme huyu alitokea baada ya masaa zaidi ya 2000 na tukio lile lilikuja kuwaacha Hoi waliokuwa wanaulilia ufalme wa kisiwa cha kusadikika na wategemezi wa Malkia aliyejaa siri nyingi na nzito waliangua kilio na walizimia baadhi yao kujiua
Nasadiki kwa Mungu Baba....Alikuwepo Mkata utepe mmoja aliyetokea Magharibi mwa kisiwa cha Kusadikika alikuwa mpole, mnyenyekevu na asiye na makuu yeye alijua tu kufanya kazi katika wafalme mbali mbali wa kisiwa hicho kilichoko mashariki mwa bara la giza
Umaarufu wa Mkata utepe ulivuma Sana alipopewa kazi ya kutunza kibubu cha kisiwa hicho kwani mfalme wa wakati huo alimwamini Sana kwa misimamo yake ya kutoyumba na uaminifu mkubwa
Baada ya Muda Mfalme yule alitwaliwa kwa Mwenye nguvu zote na Duniani na ulimwenguni na baadaye akaja malkia kama Mrithi wa kisiwa cha Kusadikika.
Malkia yule alimpa kazi ya kukata utepe na wazee wa kisiwa kile walimwambia Malkia kuwa mwanzoni mwa kalenda mpya Malkia inabidi Amwachie kiti cha enzi yule Mkata utepe na hatimaye mkata utepe awe mfalme wa kisiwa cha kusadikika kwa mwaka muongo 1 na miaka 2
Lakini kabla ya mkata utepe yule hajapewa majukumu ya kuwa mfalme wa kisiwa cha kusadikika ilibidi akutane kwanza na wazee wa enzi kumpa nguvu na kumuonyesha njia sahihi na namna ya kuongoza kile kisiwa cha kusadikika
Mfalme huyu alitokea baada ya masaa zaidi ya 2000 na tukio lile lilikuja kuwaacha Hoi waliokuwa wanaulilia ufalme wa kisiwa cha kusadikika na wategemezi wa Malkia aliyejaa siri nyingi na nzito waliangua kilio na walizimia baadhi yao kujiua
Hiyo ilikuwa ni Hadithi ya Kisiwa cha Kusadikika
Influence ndo uwezo wa uongozi?What's so special about him? Hana personality, influence, wala charisma ya Urais angebaki kwenye utendaji kama Gavana wa benki kuu au Katibu Mkuu kiongozi sio urais.
Kingine afya yake haikutengemaa tokea Covid 19 angepumzishwa why tunaforce mambo ina maana nchi hii haina vijana wa 50s huko wachukue mantle kiasi tu recycle wazee hao hao? Tunarudia risk ile ile ya JPM. Tulijua ni mgonjwa ila tukaforce kumchosha na mattress ya urais hadi umeme ukapata hitilafu.
Na hii sio Tanzania hata kenya, Uganda, Nigeria wanasiasa ni walewale ageing politicians being recycled
Hapo Aya ya mwisho ndipo kwenye utatra!!Nasadiki kwa Mungu Baba....
Nchi imepasuka. Wanashonea kamba za mgombaHapo Aya ya mwisho ndipo kwenye utatra!!
Mleta mada itakuwa amesoma nyuzi za TA, anajaribu kutengeneza story ya kusadikika.Nchi imepasuka. Wanashonea kamba za mgomba
Tumia akili ni level nyingineMleta mada itakuwa amesoma nyuzi za TA, anajaribu kutengeneza story ya kusadikika.
Maana TA alisema siku 90, Yeye anasema masaa 2000 ambayo ni yanakaribiana.Tumia akili ni level nyingine