historia ya mpira wa miguu tanzania

historia ya mpira wa miguu tanzania

mzabzab

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2011
Posts
41,878
Reaction score
81,593
Habari zenu

ningependa kufahammu kama kwenye histiria ya tz football kulishawahi kutokea timu ambayo ilipanda daraja kama vile ilivyopanda Mbao fc ya mwanza.

pili je kuna kitabu maalum kilichoandikwa kuhusiana na soka la bongo?

natangulisha shukurani zangu.
 
Kaombe documentary Azam TV wanaionyeshaga historian ya soka la tz.....
 
Kitabu kinachozungumzia soka la Tanzania kipo na kinaitwa Safari ya Soka la Tanzania mtunzi ni Peter Ching'ole. Ila kuna kitabu kingine kilitungwa zamani sana kilikuwa kinazungumzia Simba na Yanga jina nimelisahau
 
Kitabu kinachozungumzia soka la Tanzania kipo na kinaitwa Safari ya Soka la Tanzania mtunzi ni Peter Ching'ole. Ila kuna kitabu kingine kilitungwa zamani sana kilikuwa kinazungumzia Simba na Yanga jina nimelisahau
YANGA na simba.......protokali izingatiwe tafadhari.
 
Back
Top Bottom