Historia ya Mpira ya Dk. Mshindo Msolla inajulikana tokea 1980's Injinia Hersi Said atuambie yake ni ya lini?

Historia ya Mpira ya Dk. Mshindo Msolla inajulikana tokea 1980's Injinia Hersi Said atuambie yake ni ya lini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wana Yanga SC sio Wajinga (Mangumbaru ) au Wapumbavu (Mapopoma) wampe Mtu ambaye kaanza Kuujua mpira mwaka 2019 (Injinia Hersi Said) halafu tumuache Mtu mwenye Rekodi iliyotukuka katika Medani ya Kandanda (Soka) nchini Tanzania tena akiwa amefanya makubwa halafu ni Msomi vilevile tena wa 'Doctorate' kabisa Mshindo Msolla.

Wana Yanga SC tusifanye kosa sote tumpe kura zetu za ushindi wa Kimbinga kabisa Dk. Mshindo Msolla na siyo msanii na mgeni katika soka la Tanzania Injinia Hersi Saidi.

Tutanuniana mno mwaka huu kudadadeki.
 
Tatizo noti bwashee,ktk familia mtoto mwenye pesa hata akiwa wa mwisho ataitwa bwana mkubwa
Wana Yanga SC sio Wajinga (Mangumbaru ) au Wapumbavu (Mapopoma) wampe Mtu ambaye kaanza Kuujua mpira mwaka 2019 (Injinia Hersi Said) halafu tumuache Mtu mwenye Rekodi iliyotukuka katika Medani ya Kandanda (Soka) nchini Tanzania tena akiwa amefanya makubwa halafu ni Msomi vilevile tena wa 'Doctorate' kabisa Mshindo Msolla.

Wana Yanga SC tusifanye kosa sote tumpe kura zetu za ushindi wa Kimbinga kabisa Dk. Mshindo Msolla na siyo msanii na mgeni katika soka la Tanzania Injinia Hersi Saidi.

Tutanuniana mno mwaka huu kudadadeki.
 
Ajabu Sana wanasimba kuipangia yanga nn Cha kufanya

Ukiona adui yako anakushaur juu ya jambo fulani jua anguko lako lipo njiani

HIVI nikiwaambia MO DEWJI n muwekezaj kanjanja muachane naye s mtanitukana milele Mimi
 
Wasomali wanataka kuchukua team yao waifanye shamba la bibi.
 
Uto wote wenye akili ni wawili tu waliobaki wote vihiyo
 

Attachments

  • E9667620-D357-4623-BBBB-A9A4FC0DA888.jpeg
    E9667620-D357-4623-BBBB-A9A4FC0DA888.jpeg
    46.6 KB · Views: 11
Wana Yanga SC sio Wajinga (Mangumbaru ) au Wapumbavu (Mapopoma) wampe Mtu ambaye kaanza Kuujua mpira mwaka 2019 (Injinia Hersi Said) halafu tumuache Mtu mwenye Rekodi iliyotukuka katika Medani ya Kandanda (Soka) nchini Tanzania tena akiwa amefanya makubwa halafu ni Msomi vilevile tena wa 'Doctorate' kabisa Mshindo Msolla.

Wana Yanga SC tusifanye kosa sote tumpe kura zetu za ushindi wa Kimbinga kabisa Dk. Mshindo Msolla na siyo msanii na mgeni katika soka la Tanzania Injinia Hersi Saidi.

Tutanuniana mno mwaka huu kudadadeki.
Mambo ya yanga waachie yanga
 
We tangu lini umekuwa Yanga

Wewe ni makolo

Si juzi ulikuwa unalilia kocha afukuzwe kisa mmebamizwa pale kirumba.

Adui yako mwombee njaa
 
Back
Top Bottom