GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wana Yanga SC sio Wajinga (Mangumbaru ) au Wapumbavu (Mapopoma) wampe Mtu ambaye kaanza Kuujua mpira mwaka 2019 (Injinia Hersi Said) halafu tumuache Mtu mwenye Rekodi iliyotukuka katika Medani ya Kandanda (Soka) nchini Tanzania tena akiwa amefanya makubwa halafu ni Msomi vilevile tena wa 'Doctorate' kabisa Mshindo Msolla.
Wana Yanga SC tusifanye kosa sote tumpe kura zetu za ushindi wa Kimbinga kabisa Dk. Mshindo Msolla na siyo msanii na mgeni katika soka la Tanzania Injinia Hersi Saidi.
Tutanuniana mno mwaka huu kudadadeki.
Tatizo noti bwashee,ktk familia mtoto mwenye pesa hata akiwa wa mwisho ataitwa bwana mkubwa
Hersi said hawezi kuwa na hela kumzidi msola,hersi ni chawa tu wa GSMTatizo noti bwashee,ktk familia mtoto mwenye pesa hata akiwa wa mwisho ataitwa bwana mkubwa
Makolo hakuna hata mwenye akiliUto wote wenye akili ni wawili tu waliobaki wote vihiyo
luc eymael hakukosea kuwaita manyani, mambwa mnabweka bweka bweka hovyoMakolo hakuna hata mwenye akili
Hata Aden Rage alikuwa sahihi kuwa nyie ni mambumbumbuluc eymael hakukosea kuwaita manyani, mambwa mnabweka bweka bweka hovyo
Najua huna akili kama msukuleHata Aden Rage alikuwa sahihi kuwa nyie ni mambumbumbu
Mambo ya yanga waachie yangaWana Yanga SC sio Wajinga (Mangumbaru ) au Wapumbavu (Mapopoma) wampe Mtu ambaye kaanza Kuujua mpira mwaka 2019 (Injinia Hersi Said) halafu tumuache Mtu mwenye Rekodi iliyotukuka katika Medani ya Kandanda (Soka) nchini Tanzania tena akiwa amefanya makubwa halafu ni Msomi vilevile tena wa 'Doctorate' kabisa Mshindo Msolla.
Wana Yanga SC tusifanye kosa sote tumpe kura zetu za ushindi wa Kimbinga kabisa Dk. Mshindo Msolla na siyo msanii na mgeni katika soka la Tanzania Injinia Hersi Saidi.
Tutanuniana mno mwaka huu kudadadeki.