Historia ya Mrisho Mpoto na siri yake ya kuvaa magunia

Historia ya Mrisho Mpoto na siri yake ya kuvaa magunia

Nyakati zinakwenda Mkuu,Dunia inabadirika shehke wangu aisee.

Filamu zilikuwa ni vitisho mwanzo mwisho pia zilikuwa zinaonesha uhalisia wa Afrika(watu weusi) ila z ilikuwa na mafunzo mazuri.
-Zogo (kisiwa cha mauti)
-Uwa chidama dama
-kihongwe.
-Mzee wa Busara.
-noti
-Jinamizi.
-Mzimu wa mlilo.

Aisee nilipata kuangalia Filamu nyingi za kutisha(ulozi).
Ile mzee wa busara ilininyoosha, nilikoma kuzurura usiku, hahaa utoto kazi sana,
Anyway wameacha legacy
 
bangi tu zinamsumbua yule,anakula ndumu kama karogwa
 
Mrisho Mpoto ni Mgoni wa Songea
2714f6e3423599830bd9c8b74a721d63.jpg
c0ad13333b3c947504cd894ad46d5967.jpg
50aea5b887f70100dd87dc199b3841ac.jpg
Sema ata kama ana kipaji hilo la juu c gauni au macho yangu.
 
Mchumia tumbo huyu awamu hii, anaongea kupitia tumbo kuliko ubongo, kheri maskini wa fedha kuliko kua maskini wa akili
 
Back
Top Bottom