Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wandugu...Sh Mohamed
Shukurani nyingi zile juu yako,
Ahsante
Bongo,Ndo nani huyu
Je baada ya uhuru alikumbukwa jikoni kwenye kula keki? Au alitupwa jongoo.Bongo,
Mshume Kiyate alikuwa mjumbe katika Baraza la Wazee wa TANU.
Yeye alijitolea kuihudumia familia ya Mwalimu Julius Nyerere kuanzia 1955 hadi uhuru ulipopatikana 1961.
Bongo...Je baada ya uhuru alikumbukwa jikoni kwenye kula keki? Au alitupwa jongoo.
Bongo...
Haya ya kujinufaisha si muhimu.
Jambo la kupewa uzito ni kuwaenzi wote waliopigania uhuru wa Tanganyika.
Angalia video hii:
View: https://youtu.be/0H_o0ZDg7Wg?si=CBvmjLVgrHimA8V-