Historia ya Noti na Sarafu za Tanzania

mkuu m nna noti za shilling 20 na 100 vp naweza kuzirudisha benki kuu


Kichuguu
Zitunze za kumbukumbu tu; sheria ni kuwa kuna siku ya mwisho ya kubadilisha hel, ukichelewa basi unabaki nazo kama makaratasi tu. Mabadiliko ya noti yalaiyofanywa mwaka 1985 yalifanyika kwa muda mfupi sana ili watu waliokuwa wameficha fedha za uhujumu wakwame kuzibadilisha na hivyo kuziondoa kwenye mzunguko. Kuna watu walilia sana
 
1000tzn money is 0 bob kenyan money
This is due to misunderstanding the difference between the value of money, its decimalization and the exchange rate. When a country devalues its currency, basically it changes its decimalization, but that does not technically mean that the value has decreased; in fact it can increase the value of that currency depending on the local economy. That is why China is blamed for devaluing its currency frequently. The value of any currency is determined by its demand in the world; if the Kenyan currency has high demand in the world markets, then its value increases irrespective of the exchange rate. For now although the exchange rate between the Japanese Yen and the Kenyan Shilling is almost 1:1, the Japanese Yen has higher value than the Kenyan shilling because of the Japanese economy.

Of course this principle does not apply to failed economies like Zimbabawe.
 
Baada ya kuusoma huu Uzi nikaenda kufumua makabrasha ya mzee wangu...hizi noti zote zipo kuanzia hizo za muingereza za mwishoni mwa miaka60 na kuja mpaka hizo za nyerere kabla ya kubadilishwa na mzee Mkapa..
Inshort hizo fedha (noti)mzee wangu anazo amezihifadhi Ila kwa Sasa sijui zitakua na thamani ya kiasi gani ningependa kulijua Hilo...na je naweza kuzipeleka Bot kuzibadilisha!
Ahsante kwa Uzi mzuri Sana!
 
Nasubiri majibu ya wadau
 
Andiko zuri sana hili. nimelipenda. Keep the move.




Only Sky and not Shy is the limit. provided the universe is one. Things will go backforward to backfuture our developments.


Let give Support to this regime to prove to world why they should be granted to rerun in 2025 AGain MoRe.



Rgds,



GaK*!
 
Kweli umefanya jambo la maana sana. It is very rare kukutana na kumbukumbu kama hii. Umeniongezea kitu in life
 
Hivi kwanini viongozi wetu kutoka awamu ya nne,tano na sasa ya sita hawataki kuchapisha noti mpya zenye nyuso zao? Kuna nini nyuma ya pazia!??

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwanini viongozi wetu kutoka awamu ya nne,tano na sasa ya sita hawataki kuchapisha noti mpya zenye nyuso zao? Kuna nini nyuma ya pazia!??

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nchi zilizo nyingi, kwenye noti zinachapwa picha za waasisi wa taifa ama alama muhimu za Taifa. Kwenye dola ya Marekani kuna picha ya George Washington, kwenye Rand ya Afrika Kusini wamemweka Mandela, Uingereza walimweka Malkia, nk. wenye uelewa zaidi watafafanua
 
 
Kichuguu tutajie umri wako maana haya mambo unayotupa ni zamani za kale ambapo wengi wetu tulikuwa bado matumboni mwa bibi zetu i mean kabla mama zetu hawajazaliwa... lol
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…