Historia ya Noti na Sarafu za Tanzania

Historia ya Noti na Sarafu za Tanzania

Duh, hongera sana kichuguu, wewe ni mwana uchumi bila shaka, pia historia yetu. Inapendeza sana. Ukipata wasaa mzuri utudadavulie kuhusu hizi thamani ya fedha. Je Kwa nini fedha zete ina thamani ndogo ukilinganisha na Dola za marekani. Vigezo Gani hutumika kulinganisha, na nani anazipangia thamani hizi. Asante
 
Back
Top Bottom