Historia ya Qur'an

yaani kwa kifupi hata "allah" mwenyewe ameanza kujulikana 500 years baada ya Yesu kupaa. kabla ya hapo alikuwepo Mungu wa Israel tu ndiye wa kweli, na miungu mingine miiingi duniani kote. sasa mood kuja na story zake za kupotosha Biblia, amewaharibu sana na siku zote huwa hamna hoja.
 

Unataka kuniambia wayahudi wakimjua Mungu kwa jina la Yesu ?
 
Sasa kama uislamu ulikuwapo kabla Quran ya nini tena?
 

Ukifungua "Al-Kitaab Al-Muqadis(الكتاب المقدس)' (yaani Kitabu Kitakatifu), bibilia itumiwayo na wakristo wanaozungumza lugha ya Kiarabu neno Allah limetumiwa kila penye neno Mungu au Yehova.
 
Ukifungua "Al-Kitaab Al-Muqadis(الكتاب المقدس)' (yaani Kitabu Kitakatifu), bibilia hitumiwayo na wakristo wanaozungumza lugha ya Kiarabu neno Allah limetumiwa kila penye neno Mungu au Yehova.
hiyo ni tafsiri tu, ila kiukweli allah sio Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo, ni kamungu kengine kabisa. na hicho ndicho kinachowafanya msimwamini Mungu wa kweli, ati kwasababu kwa kiarabu neno "Mungu" ni allah basi ndio huyo ambaye sote tunamwabudu. kama kwa kiarabu neno allah ni Mungu, mbona India kuna miungu zaidi ya 10,000 kuna mungu ng'ombe, nyani n.k, kwahiyo ni sawa na kusema india kuna allah zaidi ya 10,000 unafikiri ndio maana yake?

kwenye Biblia ya kiarabu walikuwa wanajaribu kuwatafsiria tu waarabu pengine wataelewa. ila bado ni wagumu kuelewa hadi leo.

pia,mfano Yesu ninyi mnaita isa bin mariam, ukitaja jina la issa mapepo yanasherehekea, ila ukitaja Jina la Yesu, mapepo yakatimka, hujiulizi kwanini? ukienda kuswali kesho kaseme kwa nguvu YESU uone kitakachotokea. utaleta mrejesho hapa. hadi swala itavurugika. ila ukitaja ISSA, shwari tu. hapo ndio mjue kitabu chenu kimejaa maneno yasiyo ya Mungu wa kweli.
 

sasa tuambie jina la Mungu ni lipi ?? ni Yesu ??
 
Quran imeshushwaje mwezi wa ramadhani wakati uislam ulianza baada ya kushushwa kwa Quran na Muhammad ndiye aliyekuwa muislam wa kwanza

Kama una aya inaosema kuwa manabii kabla ya Muhammad walikuwa na mwezi wa ramadhani onyesha hapo au reference yoyote kama ipo

Pia kwanini Allah ashushe hadithi ambazo zilikuwa tayar zipo kwenye biblia?
 


View: https://www.youtube.com/watch?v=Tpmlk5P5TBo
 
Huyu jamaa anapotosha sana kwa kudokoa dokoa hadithi na kuzitafsiri kivyengine.
Kuhusu Kuja kwa maajuja nakuwekea hii usikilize vizuri huyo jamaa anapotosha sana hatari sana


View: https://www.youtube.com/watch?v=kF4kSOdcEA8
Mbona kinachosemwa ni kile kile anachosema Ustadhi Hamza, kwamba njia pekee ya kuwashinda Mahajuja Mahajuji ni kwa kupitia Issa bin Mariamu!

Hamza kapotosha wapi?
 
Huyu jamaa anapotosha sana kwa kudokoa dokoa hadithi na kuzitafsiri kivyengine.
Kuhusu Kuja kwa maajuja nakuwekea hii usikilize vizuri huyo jamaa anapotosha sana hatari sana


View: https://www.youtube.com/watch?v=kF4kSOdcEA8
Mbona kinachosemwa ni kile kile anachosema Ustadhi Hamza, kwamba njia pekee ya kuwashinda Mahajuja Mahajuji ni kwa kupitia Issa bin Mariamu!

Hamza kapotosha wapi?
 
google huyo mhindi, kuna video yake walimchukua alipokuwa anakufa, alipiga kelele balaa, ilionyesha kama alikuwa anakuona anakoelekea, kwenye ziwa la moto na kiberiti, na ilikuwa too late for him, ameudanganya ulimwengu, there was no turning back, alikufa kwa mateso. laiti kama angeweza kurudi angewaambia, na hata angewaambia wala msingemwamini.
 
Ni wapi Mohammed aliweza kuandika Kwa mkono wake mwenyewe, toa ushahidi wa kueleweka.

Pia ni wapi Mohammed aliweza kusoma maandiko yaliyo andikwa , nje ya Qur'an, TOA ushahidi
 
Mbona kinachosemwa ni kile kile anachosema Ustadhi Hamza, kwamba njia pekee ya kuwashinda Mahajuja Mahajuji ni kwa kupitia Issa bin Mariamu!

Hamza kapotosha wapi?

Sikiliza vizuri au una lengo lako jengine hapo hapajasemwa njia ya kuwashinda Juja wa maajuja ni kupitia Issa bin mariam au kiengereza huelewi vizuri nikuwekee ya kiswahili ??
 

Alikuwa akiwasilimisha wagalatia kitandani ndio video ninayoiyona , hiyo video yako labda uliangalia wewe na Roho mtakatifu wako
 

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…