Historia ya Qur'an

Uongo.
 
Nasoma satanic verses of islam by Salman Rushdie. Hizi nyingine porojo
 
Hoja ipi na unakataa ushahidi nimekuwekea kuwa biblia ziko tofauti ??
Unataka tena urudi tena mwanzo
Kazi kweli kweli
Huna ushahidi wowote ndo maana unachukua video za watu wengine unaita ushahidi

Wewe akili Yako imeshikiliwa kama ulikua hujui
 
Tena nimekuwekea na video uone hao wanaokuandikia biblia wanavyoongea , unasema unasave mb
Wanaandika wapi na wakati wameziliwa wamekuta biblia na watakufa wataiacha
Ndo maana nakuambia unatatizo kubwa la kifikra yaan unaamin kwenye nguvu kuliko kutumia akili

Mtu ambaye anaakili au busara hawezi lazimisha jambo lake lieleweke
 
Wanaandika wapi na wakati wameziliwa wamekuta biblia na watakufa wataiacha
Ndo maana nakuambia unatatizo kubwa la kifikra yaan unaamin kwenye nguvu kuliko kutumia busara

Mwenye tatizo ni wewe kwani nimekuambia uangalie documentary hutaki , au hufahamu kiengereza ??
 
Ndugu zako unaowasujudu wanakimbilia Ulaya kwenda kula nguruwe, wewe huko huku Bongo kushabikia dini yao kitu ambacho nduguzo wanakikimbia huko makwao.


Mbona mnakimbilia huku Zanzibar mumejazana wengine mnalala kwenye mapaa ya nyumba za Michenzani kwa mamia mnakamatwa ??
 
Lakini Muslim mnafurahisha
Lakini Muslim mnafurahisha, hivi kwa matendo ya Yesu, mafundisho yake, miujiza yake, ujaji wake, uondokaji wake. Hivi Mohammad anaweza ongeza kitu juu ya neno la Yesu?
 
Lakini Muslim mnafurahisha

Lakini Muslim mnafurahisha, hivi kwa matendo ya Yesu, mafundisho yake, miujiza yake, ujaji wake, uondokaji wake. Hivi Mohammad anaweza ongeza kitu juu ya neno la Yesu?
Sijakuelewa , weka vizuri zaidi ufahamike
 
Naomba kuuliza, Quran hii ya leo ni ile ile aliyoshushiw mtume??
Yaani neno kwa neno hadi nukta ni vile vile kama ilivyoteremshwa??.
 
Mbona mnakimbilia huku Zanzibar mumejazana wengine mnalala kwenye mapaa ya nyumba za Michenzani kwa mamia mnakamatwa ??
Binafsi sioni sababu ya kwenda Zanzibar kwa sababu raha zote zipo hapa Dar, hao uwaonao wewe huko ni walalahoi wanaokuja kujiuza tu huko kwa wazungu
 
Binafsi sioni sababu ya kwenda Zanzibar kwa sababu raha zote zipo hapa Dar, hao uwaonao wewe huko ni walalahoi wanaokuja kujiuza tu huko kwa wazungu

Michenzani hakuna wazungu labda hujafika Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…