Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
tuje tuweke Ligi tu yaani wenye dini zao kati ya Allah na jehova halafu na sisi wapagani tusiokubali utapeli na ujasiliamali wawaarabu na wazungu. maana hii ishazidi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
quran inasema nabii aliye udhu asiye jua kusoma wala kuandika 😂 😂Umeandika
Kuhusu Mohamad kushushiwa Quran. Kwa kifupi Mohammad alikuwa ni mtu mwenye akili nyingi sana, ni mtu alieisoma Biblia au alikariri kwa umakini na akaja na idea ya kupinga utatu mtakatifu. Ukweli ni kwamba Mohammad alitunga Quran na kuanzisha dini, na msingi wake mkubwa ulikuwa ni kupinga utatu mtakatifu, ukuu wa Yesu na ufufuko wa Yesu, hizo ndio hoja zake kubwa.
Swali
Lete ushahidi wa haya maneno yako kwamba Mtume alijua kusoma
Muhammad ni master wa fabrication hakuna anayemzidi
Hiki kitu watu wengi sana wanekiongelea Story nyingi sana kwenye quran ni fupi na hazina muendelezo wa hadithi ambao umenyooka, maneno yake ni ya mkato mkato, pia ya amri. Ndio maana Waislamu wengi hawawezi kukupatia historia ya Musa au Ibrahim, ni lazima waisome kwenye Biblia kwa sababu Quran haina mtiririko
quran inasema nabii aliye udhu asiye jua kusoma wala kuandika 😂 😂
Muhammad ni master wa fabrication hakuna anayemzidi
Hiki kitu watu wengi sana wanekiongelea Story nyingi sana kwenye quran ni fupi na hazina muendelezo wa hadithi ambao umenyooka, maneno yake ni ya mkato mkato, pia ya amri. Ndio maana Waislamu wengi hawawezi kukupatia historia ya Musa au Ibrahim, ni lazima waisome kwenye Biblia kwa sababu Quran haina mtiririko
"For if the truth of God hath more abounded by my lie unto his glory, why yet am I also adjudged a sinner?" – St. Paul, Romans 3.7.
We ndo unawapenda ndo lazima uhakikishe neno ushoga lipo utatumia kila njia uliweke na watu walijadiliHujanijibu swali langu ??
wewe unawapenda mashoga ?? mbona unakasirika kuwaandika ??au wewe ni mmoja wao ?
Mada inahusu quran unaleta mistari ya bibliaWas Saint Paul an unabashed liar?
From this verse in Romans it would appear so:
Warumi 3:7
Lakini, ikiwa kweli ya Mungu imezidi kudhihirisha utukufu wake kwa sababu ya uongo wangu, mbona mimi ningali nahukumiwa kuwa ni mwenye dhambi?
We ndo unawapenda ndo lazima uhakikishe neno ushoga lipo utatumia kila njia uliweke na watu walijadili
Kama hukipendi au hauna mda nacho huwezi kila mara unalazimisha kijidaliwe kama wewe
Umeelewa nimemjibu nini mbona hasira nyingi inapotajwa biblia ?? Wala mada haisemi Mtume ali fabricate quranMada inahusu quran unaleta mistari ya biblia
Huyo aliyekukaririsha kila ubishan unatumia mistari ya biblia alikuingiza cha kike
Jifunze kutumia common sense mada inahusu quran we unaleta mistari ya biblia
hivi kweli mnaamini Mungu angempa utume mtu aliyeoa katoto ka miaka 9? aliyechinja na kulazimisha watu wawe waislam, ambaye ameweka sheria ya kuchinja wasokuwa waislam? mnataka mtu atoke kuzimu ndio aje awaambie mmepotea?Mimi sioni kama kuna haja ya muda huu kujudge kuhusu maswala ya kiimani katika upande huu wa kidini.!
Kila mtu abaki na dini yake au Aamini anachokiamini.
1)Mtume Muhammad S.A.W kupewa utume akiwa na miaka 40 ilikua ni hekma aliyoitumia Mwenyezi Mungu.kwani kumpa katika umri huo wa miaka 40 kikawaida hata akili ya mtu inakuwa imekomaa kisawasawa na kutambulika ni mtu mzima na mpembuzi wa mambo.
Pia katika swala ilo la kiimani yalitokea mengi hivyo ilihitaji mtu ambae atakua tayari ni matured.! Na kuabudu ukisoma historia katika SIRA Muhammad S.A.W hakuwa akijihusisha na ibada yoyote iliyokua ikiendelea kipindi kile(ibada kuu-kuabudu masanamu,moto,jua,mwezi,wanyama nk) vitu ambavyo hata wewe ndugu yangu sio rahisi kukubadili kuviabudu ambayo vingine mwanadamu mwenyewe alishiriki kuvitengeneza.
Hivyo Muhammad S.A.W mara nyingi alikua akijitenga na kuwa mwenyewe katika sehemu pweke.
2) Mungu wake alikua Allah
03)swala la kibla lilikuja baada ya mtume kukakabidhiwa swala ambazo leo waislam tunaziswali kutwa mara 5 na katika historia ya Kibla hivyo kipindi hiko yeye hakuwa na Kibla
04) hakuwa na msikiti(elewa jibu no 1 na no 3)
05)hakuwa na utaratibu kabla hajapewa kitabu (Quran)
06)hakuwa akifunga Ramadhan kabla hajapewa kitabu (Quran)
07)hakuzuru Kaabah kabla hajapewa kitabu (Quran) na unaposema kulikua na midoli ama lah.? Unamamisha nini masanamu au.?
Kama ni masanamu yalikuwepo kabla ujinga ukiwa unatawala sana katika eneo lile kabla Muhammad S.A.W hajapewa Utume.!
Nawasilisha
hivi kweli mnaamini Mungu angempa utume mtu aliyeoa katoto ka miaka 9? aliyechinja na kulazimisha watu wawe waislam, ambaye ameweka sheria ya kuchinja wasokuwa waislam? mnataka mtu atoke kuzimu ndio aje awaambie mmepotea?
Yesu Kristo ndiye njia kweli na uzima, hupati uzima wa milele bila kupitia yeye, yeye ndiye jiwe lililokataliwa na ninyi waashi kumbe ndio jiwe kuu la msingi wa nyumba, naye ndiye atakayewahukumu walimwengu wote. alikuja kwa njia ya mwili kama vile yeye ni mwili kumbe alikuwa ni Mungu yule yule muumba mbingu na nchi, akafa kama kafara la dhambi, awakomboe wanadamu watakaomwamini, huwezi kumwona Mungu bila kafara la Yesu Kristo, Jina la Yesu limethibitishwa, linaponya, lina nguvu na linabadilisha. walio na mashaka pia mioyoni mwao wanajijua kuwa ni Yesu tu ndiye mwokozi wa ulimwengu.
wapi kwenye biblia pameandikwa adamu alikuwa mtume? wapi pameandikwa maria alikua na miaka 12? au ndio uongo mood aliwaletea na mnauamini hadi kesho.Mbona alimpa utume Nabii Adam, mke , wa hata siku moja hajafikisha ? Au ilivyoandika biblia ni uongo ?+
hata mama yake Yesu mbona alipata mimba akiwa miaka 12 tu wala hajaolewa ??
Sikujui ila katika watu wenye upeo mdogo sana ni weweMbona umekasirika sana kutajwa hao watu , Unawakingia kifua , napata mashaka na wewe
hivi kweli mnaamini Mungu angempa utume mtu aliyeoa katoto ka miaka 9? aliyechinja na kulazimisha watu wawe waislam, ambaye ameweka sheria ya kuchinja wasokuwa waislam? mnataka mtu atoke kuzimu ndio aje awaambie mmepotea?
Yesu Kristo ndiye njia kweli na uzima, hupati uzima wa milele bila kupitia yeye, yeye ndiye jiwe lililokataliwa na ninyi waashi kumbe ndio jiwe kuu la msingi wa nyumba, naye ndiye atakayewahukumu walimwengu wote. alikuja kwa njia ya mwili kama vile yeye ni mwili kumbe alikuwa ni Mungu yule yule muumba mbingu na nchi, akafa kama kafara la dhambi, awakomboe wanadamu watakaomwamini, huwezi kumwona Mungu bila kafara la Yesu Kristo, Jina la Yesu limethibitishwa, linaponya, lina nguvu na linabadilisha. walio na mashaka pia mioyoni mwao wanajijua kuwa ni Yesu tu ndiye mwokozi wa ulimwengu.
Mada inahusu quran we umeleta mambo ya bibliaYesu hakujuwi wewe au maneno haya ni uongo
Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo. Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.
Mathayo 15.21-28
Kwa maneno yasiotatanisha, Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wanyumba ya Israeli."
Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina.
ama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wakumkata mtu kiu:
Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."
shida yenu huwa mnamezeshwa kamstari kamoja, wala hamjui mandhari Yesu aliyoongea aliongea akimaanisha nini, na mistari yote huwa mnamezeshwa huwa ni kwa ajili sio ya kuwasaidia mtende mema bali ili kuushinda Ukristo kwasababu ni nuru inayowatishia mno wauza dawa za suna.Yesu hakujuwi wewe au maneno haya ni uongo
Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo. Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.
Mathayo 15.21-28
Kwa maneno yasiotatanisha, Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wanyumba ya Israeli."
Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina.
ama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wakumkata mtu kiu:
Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."
wapi kwenye biblia pameandikwa adamu alikuwa mtume? wapi pameandikwa maria alikua na miaka 12? au ndio uongo mood aliwaletea na mnauamini hadi kesho.
shida yenu huwa mnamezeshwa kamstari kamoja, wala hamjui mandhari Yesu aliyoongea aliongea akimaanisha nini, na mistari yote huwa mnamezeshwa huwa ni kwa ajili sio ya kuwasaidia mtende mema bali ili kuushinda Ukristo kwasababu ni nuru inayowatishia mno wauza dawa za suna.
Mathayo 28: 18 - 20
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. 19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; 20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
Yesu alikuja duniani kuwaokoa wanadamu wote, sio wayahudi tu.