Historia ya Taifa la Iran

Historia ya Taifa la Iran

Mesopotamia known for and why is it called the cradle of civilization? ... Mesopotamia was home to Sumer - the first urban civilization in the region, and arguably the first civilization in the world. Sumer was first permanently settled between 5,500 and 4,000 B.C.
 
Mesopotamia (from the Greek, meaning 'between two rivers') was an ancient region located in the eastern Mediterranean bounded in the northeast by the Zagros Mountains and in the southeast by the Arabian Plateau, corresponding to today's Iraq, mostly, but also parts of modern-day Iran, Syria and Turkey
 
New International Version
The sons of Shem: Elam, Ashur, Arphaxad, Lud and Aram.

Elam jina la ufalme
Ashur(asyria)jina la ufalme.
Aram(Aramaic)jina la ufalme.
Walichofanya waandishi Ni kutumia majina ya hizi falme eti Ni watoto wa Shem,who didn't actually exist.
Ni sawa na kudai caanan alikuwa mwana wa Ham,wakati SI kweli kwani caanan Ni jina la province,au kudai misri alikuwa mwana wa Ham,,,sio kweli
 
Mkuu hakuna kipindi dunia imeishi bila kuongozwa na dola fulani kubwa..hii dola ya america haikuwepo kipindi cha nyuma, palikuwa na wababe wengine ambao kwa nyakati zao waliongoza dunia'

Hujawai sikia dola la rumi? (Rumi empire) uajemi, hujui kuhusu misri chini ya farao?

Au wewe unajua ni hadithi tu za kutunga!!?

Kipidi hicho hiyo marekani inayoisema ilikuwa si loloote!

Nyie wcb ni shidaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna namna utawala ulitofautiana USA anatawala kwa akili mfano anatengeneza vita,magonjwa na biashara ya technology kutawala dunia tofauti wababe wa zamani walitumia mabavu kutawala dunia hvyo ilikuwa ni nyepesi kuwaangusha ingawaje USA hawezi kutawala milele ipo cku ataangushwa ila siyo hv karibuni kwa hii migogoro ya Iran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom