Historia ya Wasubi na Wilaya ya Biharamulo

 
Kukataa home ni uboya

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Mbona watu kibao tu wanakana makabila yao wakija mjini? Mifano hii hapa: Mbeya (wasafwa, wanyamwanga, wamalila wote hawa wanajiita wanyakuyusa), Mara (kuna vikabila vidogo zaidi ya 20 vyote vinajiita wakurya), Kagera (wanyambo wakija mjini wanajiita wahaya), Kilimanjaro (wakahe, wagweno, wanajiita wapare) nk.
 
 
Aliyekuwa Raisi wa wmawamu ya tano pia alihesabika kama mzaliwa wa wilaya ya biharamulo kabla kata ya chato iliyokuwa wilayan biharamulo haijafanya kuwa wilaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…