Historia Yenye Ukakasi Kuhusu Uanzishwaji wa Taifa la Israel

Tunataka nondo zilizoshiba utafiti na ujazo. His majest the king bold rules jf intelligence kingdom. We are his loyal subjects. Hail to the king!
Watu kama nyie hamstahili kabisa kuja kwenye jukwaa kama hili mtu anatumia muda wake kuandika anachokijua ww unatoka huko kuja kumdiscourage!
 
Hakika nimeipenda kiu yako ya kutaka kufahamu mambo.

Wewe ni mtu mwerevu. Keep it up.
 
You nailed it,labda tu uendelee kuelezea urawanyikaji wao ulisababishwa na nini?je ni mfalme wa rumi chini ya general titus alipouangamiza mji wake yerusalemi?
 
Mkuu nakushukru sana kwa muda wako lakini pia kwa uchambuzi mzuri sana.
 
Watoto 12 wa Yakobo ambao ndio makabila 12 ya wana wa Israel aliwapata kutoka wake wa 4 sio 3. Wawili ndugu na wawili vijakazi.

Na washawasha!
 
Mfalme Herod Baba Wa Mysterious Force ama Freemasons Waroma ni watu wabaya sana hawa ndio waporaji na wapotoshaji wakuu kuonyesha kuwa dini ya ukristo originally yake ni Israel.
 
Mkuu Shukrani kwa Ufafanuzi mkubwa hapa nimepata madini ya kutosha hakika JF ni The Place of Great Thinkers
 
kati ya nchi zote Africa kwanini waliitizama Uganda na sio Nigeria, Ghana, Rhodesia zenye vitu vya thamani geographically.
kwa sababu ingekua rahisi saana kuwashusha hata ndugu zao ambao wapo ethiopia ambao ni watoto wa seleman na queen of sheba, hivyo basi kama wangeletwa uganda wangeungana na ndugu zao kutoka ethiopia na kuanzisha taifa lao, ila theodore ambae ndie mossad alieteuliwa kutunza na kubeba kumbukumbu na ramani ya nchi yao ya ahadi aliwatonya wenzao kua tokea kipindi cha joshua kizazi na kizazi kimekua kinaitunza ile ramanai ya nchi yao ya ahadi ambayo ni canaan ambayo baba yao yakobo aka israel alipewa na mungu wao na kuahidiwa kua wataishi huko.......
there fore walichomoa kwenda uganda.......
 
Mkuu mama huo Uzi ushauweka naomba unipe link tafadhari
 
Hii inaweza kuwa kweli Maana nilisoma mahali kuwa baada ya Efraim kwenda UK basi Manasseh akaenda US.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…