History: Tanzania troops in Seychelles

Sawa lakini inajenga miradi yake mingi yenyewe kwa pesa yake ya ndani, huoni ana akili [emoji23][emoji23][emoji23]
wewe ni ccm tu...eti si chama chako...unafikiria ni mtanzania gani mwenye akili timamu ataamini sera za pesa za ndani...narudia tena..wenye akili km hzo wote ni wale fuata upepo..weww ukiwa mmoja wao...bwahahaaa..

watu wa ndio
 
Najua kenya haiwezekani kutumia pesa za ndani ndo maana unaona huku haiwezekani ahhahaha pole
wewe ni ccm tu...eti si chama chako...unafikiria ni mtanzania gani mwenye akili timamu ataamini sera za pesa za ndani...narudia tena..wenye akili km hzo wote ni wale fuata upepo..weww ukiwa mmoja wao...bwahahaaa..

watu wa ndio
 
wuhuhuuu...bro naona maneno yangu yamekuingia..manake nlishangaa ilkuwa wa longa tu km zimwi...naona nmekupa somo...siku nyngne usikariri maneno ya wakulu...jifunze na wewe kutafakari
 
wuhuhuuu...bro naona maneno yangu yamekuingia..manake nlishangaa ilkuwa wa longa tu km zimwi...naona nmekupa somo...siku nyngne usikariri maneno ya wakulu...jifunze na wewe kutafakari
Hahahaha unafikiri sisi ni kama nyie mnakopa kopa ovyo alafu mbona sikuoni kwenye uzi wa traffic lights
 
Kamanda aliyeongaza vikosi vya MVICTORIA Seychelles L Seychelles amefariki 20/05/2019 RTD Brig Gen Ngwillizi,
 
sema vijana wa mapanga...bwahahaaaa...masaa kumi na manne mnapambana na vijana wa mapanga..alafu tena hapo hapo mkapoteza wanajeshi 14...alafu unakuja jisifu hapa...

je wakipigwa RPG km tano hv kambini ghafla..si watazirai tu wote hao jamaa
Nasikia kdf walinajisiwa na alshaabab?
 
Ndio hiki kiherehere chenu cha kuingilia nchi za watu kimesababisha mumekua maskini hadi leo, na mtaendelea kulipia gharama hadi vizazi vijavyo.
We mburura kweli nyie mnautajiri gani? Acha dharau hizo kuishi kwenye mabanda ya kibera.
 

Mwaume mwenzako ni alshanab? Mbona huyo ni demu tu
 
Tukikopa kutoka kwenu maskini mtabaki na nini, na kama kuna watu serikalini kwetu wenye mawazo kama hayo itakua wanajitafutia laana, utakopaje kutoka kwa LDC, maskini wa kutupwa.

Maskini ni nani kati ya anayeshindea kulisha watoto angalau mlo mmoja au ni yule anayekukopesha unga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…