chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
historia nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa ni muongo na mzushi. Ni kweli hana kipato kikubwa lakini kuhusu ulevi na kuombaomba bia kwenye mabaa umemzushia pakubwa.Kitu cha kusikitisha kabisa na nakishuhudia mara kwa mara kwa macho yangu, Edibily Lunyamila tupo nae sana maeneo ya Mbezi kwa yusufu amechoka na hana uwezo wowote kifedha. Maisha yake yamekuwa ya kuungaunga kwa wadau. Amekuwa mlevi sana mtu wa kuombaomba bia kwenye mabaa. Kama ilivyo desturi ya wachezaji wa zamani kiukweli maisha ya Lunyamila yanasikitisha sana.