Kitu cha kusikitisha kabisa na nakishuhudia mara kwa mara kwa macho yangu, Edibily Lunyamila tupo nae sana maeneo ya Mbezi kwa yusufu amechoka na hana uwezo wowote kifedha. Maisha yake yamekuwa ya kuungaunga kwa wadau. Amekuwa mlevi sana mtu wa kuombaomba bia kwenye mabaa. Kama ilivyo desturi ya wachezaji wa zamani kiukweli maisha ya Lunyamila yanasikitisha sana.