Hitachukua miaka 100 kumpata mchezaji hatari kama huyu Tanzania

We jamaa ni muongo na mzushi. Ni kweli hana kipato kikubwa lakini kuhusu ulevi na kuombaomba bia kwenye mabaa umemzushia pakubwa.
Edibily ni mtu mtulivu sana kitabia na yuko na wenzake kina Kaniki, Jembe ulaya, Kasonso n.k kwenye klabu moja ya veterani hapo Mbezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…