Hitaji la Sub-Forum ya Viwanda Vya Mazao ya Kilimo

Druggist

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
439
Reaction score
528
Mods Naomba Ndani ya Ft forum ya Biashara,Uchumi na Ujasiliamali Kuwepo na Sub-Gorum ya Viwanda. Tusiishie Kulima na Kufuga tu,Tuanze kupeana maarifa na mbinu za Kuongeza Thamani Mazao ya Kilimo na Mifugo. Hii ni kwa sababu,Kama hatutafanya hivyo mkulima mmoja mmoja au Taifa,tutaendelea kuwa watumwa Wa madalali na Mataifa ya Nje.
Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…