Hitilafu kubwa ya umeme yaikumba Kenya, umeme wakatika maeneo mengi ya Nchi

Hitilafu kubwa ya umeme yaikumba Kenya, umeme wakatika maeneo mengi ya Nchi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kampuni ya Kusambaza Umeme nchini Kenya imetangaza kutokea kwa hitilafu kubwa ya umeme usiku wa kuamkia leo Disemba 18, 2024 iliyosababisha kupotea kwa nguvu ya umeme nchini kote, isipokuwa maeneo ya Magharibi na eneo la Bonde la ufa kuanzia majira ya saa sita na robo usiku.

Kupitia taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo haijabainisha chanzo cha hitilafu hiyo na wameyataja maeneo yalioathirika ikiwemo Nairobi, Mombasa, Kisumu, Nyeri na kaunti nyingine.
IMG_1751.jpeg
 
Back
Top Bottom