Hitimisho!

Kamanda, you have a well of wisdom and analytical qualities

Thanks MJ1

BTW, mbu is on another level aisee

Babu kwanza hongera kwa kuwatia adabu watu wa darajani, :thumb:
:focus:
Haya maisha we acha tu bana, ...bakora kila mahala, 'natandikwa' mpaka ubongo unatia akili!

 

...maneno yako yanatilisha uchungu bana, aarrghhh!
 
 
bwana wee.....huyu jamaaa huko nyuma ni mume wa mtu na huyu demu ni house maid....na hapo anamwambia tayari nna kamimba chako na usipo nioa ntakuharibia kwa mkeoo na ndio siiitoiii...:doh:

Him; "...wanawake ndivyo mlivyo!"
Her; "...wanaume wote mpo sawa!"

Kuna "ukweli" gani kwenye nukuu hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…