HITS yaaga Tanzania

HITS yaaga Tanzania

Jamani take kupanikisha watu wakaenda kuwithdraw pesa zao na kufilisi benki ya Barclays, hata kinachoendelea sasa hivi katika nchi za ulaya ni kupanic kwa wawekezaji na wenye deposit ndio maana tatizo linakua kila siku.

Barclays kuwa na matatizo UK sio sababu ya Barclays Tanzania kuwa na matatizo kwani mabenki yanaendeshwa tofauti na makampuni ya kawaida, afterall sisi tuna financial regulations ambazo ni strictly sana wakati wenzetu hawakuwa nazo au zililegezwa, walikuwa wanaruhusiwa kukopesa deposit yote bila kuacha reserve wakati sisi lazima benki hiwe na reserve na mikopo inakaguliwa na BOT quarterly.

TETESI ZA AINA HIYO SIO NZURI KWENYE SOKO LA USHINDANI KAMA LA MABENKI.
 
Jamani take kupanikisha watu wakaenda kuwithdraw pesa zao na kufilisi benki ya Barclays, hata kinachoendelea sasa hivi katika nchi za ulaya ni kupanic kwa wawekezaji na wenye deposit ndio maana tatizo linakua kila siku.

Barclays kuwa na matatizo UK sio sababu ya Barclays Tanzania kuwa na matatizo kwani mabenki yanaendeshwa tofauti na makampuni ya kawaida, afterall sisi tuna financial regulations ambazo ni strictly sana wakati wenzetu hawakuwa nazo au zililegezwa, walikuwa wanaruhusiwa kukopesa deposit yote bila kuacha reserve wakati sisi lazima benki hiwe na reserve na mikopo inakaguliwa na BOT quarterly.

TETESI ZA AINA HIYO SIO NZURI KWENYE SOKO LA USHINDANI KAMA LA MABENKI.

Jamco_Za,

Barclay hawana matatizo UK. Mpaka sasa kwa banks za UK ni wao tu ambao hawachukua pesa za serikali. Hii ni dalili kwamba hali yao sio mbaya kabisa.

Serikali haina share hata moja kwenye Barclays mpaka kufikia leo. Wakati bank zingine zote serikali wana zaidi ya asilimia 50 ya shares.

Ni Barclays na HSBC tu ambao mpaka sasa hawana matatizo, ukiachia yale ya ujumla ya banks zote kuwa kwenye matatizo.

Kinachoweza kutokea ni matawi ya banks nyingi kufungwa huko duniani ili waweke mizizi kwenye nchi wanazotoka. Kwa mfano kama Barclays watapewa pesa na serikali ya UK, huenda wakapewa maagizo kwamba lazima hizo pesa zitumike UK tu, hivyo matawi yao nje ya nchi yanaweza kuwa affected.
 
Hakuna benki inayoweza kupona kama wateja wake wote wakienda kutoa hela zao! Hii ni kwa sababu benki zote zinatumia fractional reserve system ambapo benki inakua ina kisasi fulani tu (fraction) cha deposits zote, hii ni kuiruhusu benki kutoa kiasi fulani cha deposits kama mikopo kwa watu wengine.

So kwa mfano benki inayotunza milioni 20 za wateja itakuwa na millioni 5 tu in actual cash or liquid assets, the rest 15 mil wanazitoa kama mikopo ili kuongeza mzunguko wa hela na kupata faida. Sasa wateja wote wakijaribu kutoa hela zao kwa wakati mmoja, lazima Benki itashindwa kufanya kazi.

Kwa kuwaondolea wateja hofu ya kupoteza hela serikali nyingi duniani zinaweka bima kwenye kiasi fulani cha deposits za watu, kwa mfano marekani kuna FDIC: Federal Deposit Insurance Corporation ambayo inaweka bima hadi $100,000 so benki ikifilisika kama una 250,000 or less unarudishiwa hela zako.

Kwa Tanzania kuna Deposit Insurance Board ambayo kazi yake ni hiyo hiyo hama FDIC lakini insurance yao inalinda Shilling laki tano tu! (yes $400 !!!) Sasa sijui hiyo laki tano kama kweli inaleta confidence yoyote.
Link Ya Deposit insurance Board:Bank of Tanzania: Most Frequently Asked Questions and Answers
 
Last edited:
You need independent economic teams both at Ikulu and the Treasury not surrogates of the governor;people who can give alternatives; in other words people who can say NO to BOT's recommendations.
 
Wakati watanzania hawajasahau jinsi walivyolizwa na great television (GTV), ambayo ilifunga mitambo yao kama wiki mbili zilizopita, tayari mtandao mpya uitwao Excellentcoms au HITS nao unafunga virago kuondoka Tz baada ya mwekezaji kufilisika huko Marekani. Mtandao huo ambao ulikuja kwa kasi ya ajabu, ukiwa umejenga minara karibu kila kona ya nchi na ukitarajia kuanza kutoa huduma zake tangu December 2008, sasa umewapeleka likizo wafanyakazi wake na hatima yake haijulikani.

Pia inasemekana kuwa Barclays Bank nayo inachungulia kaburi wenye mafedha huko kaeni chonjo

Hii habari imekaa kiudaku udaku! mbona HITS wako hewani?
 
Nimeamini HITS !!!! wako hewani!!!!... Baada ya mdau mmoja kunipigia na number inayoanzia na +255742XXXXXX akaniambia kuwa wapo katika majaribio... Nashukuru akinipatia number yangu ili niweze kufaidi...kwani alinihakikishia tuta-BANANGENGE!!! kwa unafuu walio nao...
Mdau
Tusker Bariiidi!!!
 
Back
Top Bottom