Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida hapa ni kuwa Ugonjwa huu ukiondolewa tu watu wanarudi kule kule tena,hali itazidi kuwa mbaya zaidi kiasi cha kusababisha ndoa kuvunjika,mimba za utotoni na zile zisizotarajiwa,yaani itakuwa balaa,sipati picha itakuwaje.Ugonjwa upo lakini angalia hali ya zinaa ilivyo,ukiwa haupo hali itakuwaje..??Dawa ya uhakika ya Ukimwi iliyobaki ni Kumwomba Mungu kwa bidii ili aondoe ugonjwa huo kwa mgonjwa.
Wanaojiita wanasayansi na Madaktari wamejionesha kushindwa kuutibu huu ugonjwa.
Ni maombi tu yatakayotunusuru na hili Janga.
Kwahiyo unaona ni bora watu wateseke na kufa kuliko hilo wazo lako ?Shida hapa ni kuwa Ugonjwa huu ukiondolewa tu watu wanarudi kule kule tena,hali itazidi kuwa mbaya zaidi kiasi cha kusababisha ndoa kuvunjika,mimba za utotoni na zile zisizotarajiwa,yaani itakuwa balaa,sipati picha itakuwaje.Ugonjwa upo lakini angalia hali ya zinaa ilivyo,ukiwa haupo hali itakuwaje..??
Ninawaza tu mkuu,sio ushauri..Kwahiyo unaona ni bora watu wateseke na kufa kuliko hilo wazo lako ?
Kwani watu waliishi vipi kabla ya ukimwi kuwepo ?
Hilo wazo lako ni zuri kwa wewe ambaye huna maambukizi ya virusi vya hiv.Ninawaza tu mkuu,sio ushauri..
[emoji106]Dawa ya uhakika ya Ukimwi iliyobaki ni Kumwomba Mungu kwa bidii ili aondoe ugonjwa huo kwa mgonjwa.
Wanaojiita wanasayansi na Madaktari wamejionesha kushindwa kuutibu huu ugonjwa.
Ni maombi tu yatakayotunusuru na hili Janga.
Wametengeneza kitu ili wafanye biashara.Wanataka kujua soko lao la kuuza dawa litakuwaje kufikia mwaka huo, yani faida itakuwa kubwa kiasi gani kupitia maumivu kwa watu wengine.
Ukimwi ni ugonjwa wa akiliWametengeneza kitu ili wafanye biashara.
Ndio maana nasemaga ukimwi ni fikra na mawazo yako tu..
NakaziaTuache kungonoka