Hiv inakuaje ukimtongoza demu wa kiislamu kipindi hiki

Hiv inakuaje ukimtongoza demu wa kiislamu kipindi hiki

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Honest Kuna demu mmoja mpemba hiv namkubali Sana je nikimtongoza anaweza kukubali kipindi hiki?simaanishi kufanya mapenzi mwezi Huu maana Kuna watu wana vichwa vigumu kuelewa ni kumtongoza tu nakuwa mpenzi wangu bila kufanya chochote mwezi Huu

Nipeni majibu wadau
 
Write your reply...wazee wa kubeti tunasema mkeka lazima uchanike labda umuendee kwa gia ya kutaka kumuoa


lakini hapo itabidi usubiri mpaka sikukuu ya idi
 
Siku zote ulishindwa kumtongoza hadi usubiri ramadhan ifike ?? Ao nyiye ndo wale mashetani wanaoweka watu majaribioni ili wafanye madhambi wakati wa toba ?
Honest Kuna demu mmoja mpemba hiv namkubali Sana je nikimtongoza anaweza kukubali kipindi hiki?simaanishi kufanya mapenzi mwezi Huu maana Kuna watu wana vichwa vigumu kuelewa ni kumtongoza tu nakuwa mpenzi wangu bila kufanya chochote mwezi Huu

Nipeni majibu wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom