ALPHONCE TWALANGETE
Member
- Jul 12, 2013
- 6
- 2
NUkuu"MNYONGE MNYONGENI LKN HAKI YAKE MPENI"Hii imekuwa kinyume kwa walimu wa manispaa ya knondoni,cfaham kama kunaurasmi wa hili lnalotendeka manspaa hii nikwa chi nzima hvhv?, kwani walimu wamekuwa wakiptishiwa maombi ya mikopo ya mishahara yao na afsa muhusika kwa awamu mbili tu(mara 2 kwa mwezi) tofauti na hapo awali walimu walikuwa wakpata mikopo kwaajili ya kutatua matatzo yao kwa wakat muafaka.Sasa cfaham utaratbu huu mpya nikwaajli ya kumsaidia mwalim au kuzid kumkandamiza?USHAURI : Afsa muhusika buni utaratbu mzuri ambao hautamumiza mwalimu anayefanya kaz ktk mazngira magum kwan kufanya hvyo hakutamkatisha mwalim tamaa ya kufanya kaz naufaham kuwa upo kwajr yakumtumikia yeye nac kumkandamiza nachukulia mikopo yao ni dharura. Kwaanaefaham zaid tupia hapo ilituzd kuelmshana......(hv kaz za chama chao n zp?):disapointed: