"Hiv unajua Maharage ukiweka kitunguu saumu yanakua kama nyama"

"Hiv unajua Maharage ukiweka kitunguu saumu yanakua kama nyama"

Daaah,..mdada huyo,tulikua tunapata lunch,tukawa tunajadili mambo ya january,yeye anafamilia,mi bachelor january hainihusu,so nkawa nawaskiliza tuu,bas ndo nkaskia hyo kauli,daah nilicheka sanaaaaa...hahahahaha[emoji23][emoji23],..
Kwahiyo unatakaje?
 
Back
Top Bottom