HIV: Usiri Unachangia Maambukizi

Ni kweli ila souz nan hzo nchi maambukizi ni makubwa mno yani makubwa sana,haswa souz ni hatar sana hata cjui watafanyaje na hawajali wanafanya ngono zembe kuliko kawaida. Heri yetu mara mia.
Nafikiri ni kwakuwa raia wa sauzi ambao wameathirika dawa humeza mara mbili kwa mwaka(kila baada ya miezi 6) wanameza kidonge kimoja so ukimwi huonekana ni ugonjwa wa kawaida kwao tofauti n nchi zetu adhabu ya kumeza dawa kila siku na kubwa na hatuna uwezo wa kupata dawa zao
 
 
Huu uwongo huu hakuna vidonge vya namna hiyo kama una ushahidi wa link fanya kuweka.
 
Huu uwongo huu hakuna vidonge vya namna hiyo kama una ushahidi wa link fanya kuweka.
Hata mimi sijawah ona ninachujua ni mzigo wa dawa labda useme zao ziko quality na pia wanakula vizur,hali ya hewa ina wasaidia hakuna homa ila vidonge kibao .
 
Hizi dawa za kila miezi sita Ulaya hupewa wale wenye matatizo ya akili ambao watasahau kunywa dawa kila siki. Tena kuwa ni sindano
 
Pamoja sana mkuu. Ubarikiwe.
 
Hata mimi sijawah ona ninachujua ni mzigo wa dawa labda useme zao ziko quality na pia wanakula vizur,hali ya hewa ina wasaidia hakuna homa ila vidonge kibao .
Sikumjibu huyo jamaa maana ameanza na kusema "uwongo" wakati hajaanza kutaka uthibitisho ina maana yeye anajua kila kitu.

Kitu hufahamu kabla mtu hujamwambia Muongo omba source ya habari akishindwa ndo umwambie mwongo..HIV dawa zipo pia kulingana na uchumi wa nchi husika maana ni gharama dawa tunazotumia sisi nchi zenye uchumi mkubwa hawatumii kama tunavyotumia sisi.
 
Hili la nchi tajiri kutumia dawa tofauti na hizi zinazoletwa huku nchi maskini hata mimi nimewahi kulisikia.
 
Wengi mnaoshuhudia kuwa mtu anaweza kufanya mapenzi na mtu anayetumia dawa na asipate muwe makini.. hawa watu huchoka kutumia dawa na huweza kuacha kutumia dawa ghafla na Kinga huweza kushuka na kusababisha maambukizi... Chunga Sana.. Kama huna usiombe uwe nao!
 
Yah ni km unacheza bahati nasibu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Virus anaweza asile hata miaka miaaa...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…