Urafiki wao ulivunjika toka mwaka jana mwanzoni tena walikuwa wanajibizana sana twitter,Floyd katulia lakini 50 bado anamchokonoa.50 always ni mtu wa bifu,deal zake haziend bila kutafuta bifu na mastaa wenzake.Wajanja huwa wanaescape kufanya bifu na huyu jamaa huwa akubali kushindwa .Ja Rule alisanda mazima na kukiri kwamba bifu lake na 50 ndo lilimaliza career yake