Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 890
- 658
Nacheki post kibao za 50 kwenye instagram dizaini kama ana mdisi sana floyd....kuna moja kamuambia "floyd una sema f@ck 50,TI and nelly wakati nelly kamgonga mama wa mtoto wako wa kwanza na mchumba ako"
wana ugomvi hawa watu au? maana navyo jua mimi 50 ni mshikaji wa floyd na hata kwenye mapambano kibao ya ndondi wana kuaga wote.
wana ugomvi hawa watu au? maana navyo jua mimi 50 ni mshikaji wa floyd na hata kwenye mapambano kibao ya ndondi wana kuaga wote.