kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Gwe Kisa ndeke umundu akome misi ukulonda aje ntungulu?Nina ndugu yangu alikwa ameacha pombe kama miaka minne hivi iliyopita.
Sasa hizi sikukuu za juzi:
Akaniambia: "Aisee, ngoja niinjoi kinywaji kuanzia krismasi mpaka mwaka mpya tu, halafu mambo yarejee kama awali."
Jamani, Leo hii (tarehe 15/1/2022) yuko kaunta ana bia ya nne!
Jamani kuna kuacha kweli? Nini dawa ya pombe?
Ipo, mwambie apitie hiki kitabu. Anaweza kisoma bure ndani ya maktaba app.Nina ndugu yangu alikwa ameacha pombe kama miaka minne hivi iliyopita.
Sasa hizi sikukuu za juzi:
Akaniambia: "Aisee, ngoja niinjoi kinywaji kuanzia krismasi mpaka mwaka mpya tu, halafu mambo yarejee kama awali."
Jamani, Leo hii (tarehe 15/1/2022) yuko kaunta ana bia ya nne!
Jamani kuna kuacha kweli? Nini dawa ya pombe?
Nina ndugu yangu alikuwa ameacha pombe kama miaka minne hivi iliyopita.
Sasa hizi sikukuu za juzi: Akaniambia: "Aisee, ngoja niinjoi kinywaji kuanzia krismasi mpaka mwaka mpya tu, halafu mambo yarejee kama awali."
Jamani, Leo hii (tarehe 15/1/2022) yuko kaunta ana bia ya nne! Jamani kuna kuacha kweli?
Nini dawa ya pombe?
dawa ya pombe ni kuinywa!!Nina ndugu yangu alikuwa ameacha pombe kama miaka minne hivi iliyopita.
Sasa hizi sikukuu za juzi: Akaniambia: "Aisee, ngoja niinjoi kinywaji kuanzia krismasi mpaka mwaka mpya tu, halafu mambo yarejee kama awali."
Jamani, Leo hii (tarehe 15/1/2022) yuko kaunta ana bia ya nne! Jamani kuna kuacha kweli?
Nini dawa ya pombe?
HILO TATIZO LA INSOMNIA NI WITHDRAWAL SYMPTOM LITAKUSUMBUA KAMA WIKI 3 KISHA UTAKAA SAWARosa ree anakwbia acha wana wanywe pombeee...
Ila damn nimepanga kuacha au kupunguza kabisa mwaka huu... tatizo insomnia