Hivi Aisha Madinda yupo wapi?!

Yeah

Jr[emoji769]
Alipoachana na fikiri madinda alijitumbukiza kwenye mapenzi na muuza ngada mmja ibra aka lipmba jamaa ndy alimuingiza kwenye matumizi haswa ya madawa kwa kasi!
Dah enzi hzo tangwa mango garden ilikuwa never miss "ile shika ungoo watu tuko na bia zetu tumezikombatia"[emoji23] [emoji23]
Ilifika mpk hatua mpk watu wanaingiaa bureee...mkiingiaaa ndani mobbb lazima mzee choki akikuonaaa ataitikiaaa"watoto wa kinondoniiiiiii"[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ilikuwa shidaaaa ila aisha alikuwa na mshepuu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…