Hivi Aisha Madinda yupo wapi?!

Hivi Aisha Madinda yupo wapi?!

Bado yupoyupo anaangalia kitovu cha mshosti mwenzake. Ile kitu haitamanishi walume pake yetu bana.

We! kwa hiyo unataka kuniambi mimi natamani hicho kitovu hata siku moja,
nikitokea hapo utashikwa kigugumizi.
 
We! kwa hiyo unataka kuniambi mimi natamani hicho kitovu hata siku moja,
nikitokea hapo utashikwa kigugumizi.

Taratibu shosti, nimechomekea shati kwenye suruali ya pamba. Utaharibu mambo.
 
Shorwe keisha ruka zake looh ngoja nijaribu PM!
 
naona mchuchu kayeya!vijana tatizo mna haraka sana utadhani KIUNO CHA KWANZA
 
Masanilo hakosekani katika masuala haya, bado sijakumaliza kwa ile pic ya Tshala Muana, wee chiboko
 
Masanilo hakosekani katika masuala haya, bado sijakumaliza kwa ile pic ya Tshala Muana, wee chiboko

Kaka pole pole mimi ni mchungaji wa hawa akina Geoff, chrispin, Nguli, Fidel, Yo Yo na wafananao na hao.
 
namsubiri nyani-julius aamke aangalie mzigo huu,HASA MAENEO YA KATI HAPO.

lazima afute kauli yake.huyu mtoto mtamu bana
 
Kaka pole pole mimi ni mchungaji wa hawa akina Geoff, chrispin, Nguli, Fidel, Yo Yo na wafananao na hao.

Mkaribishe kanisani mpwa. Inaelekea baaaado sana kulijua neno huyu.
 
Duu atakuwa ananihesimu sana maana PM ninazo pata ni balaaa!

unaweza kuta anakushangaa tu.pengine yeye mwenyewe ndo joycelene.maanake hashindwi kuwa na aidii mbili na zaidi.again ana access zote 99
 
Back
Top Bottom