Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Dominus Vobiscum,
Sanctus Sactus Sanctus!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dominus Vobiscum,
Furaha/Joy inaonakana hujanikubali kbs nimekuja na mkwara wa Hi! Baby lakini naona unaenda kwa raisi wetu na baba mchungaji MASA.
Nitakuombea upofu mheshimu Mchungaji....!
sikuiona pole sana, mambo?
Kachomoa ligi nilitaka twende nae sawa au tuanzishe thread yetu ya dead language/latinshemasi chrispini mwenyewe!
mimi ni mkatekista tu,sijui kilatini
Kachomoa ligi nilitaka twende nae sawa au tuanzishe thread yetu ya dead language/latin
Greek not reachableHey
Ask me in GreeK and I will respond to you in Latin...!
Mtaa gani? Una contacts zake mamii? Naona umeshagundua kuwa vitu kama hivyo vinahitaji watu wenye hobby zetu. Ila huyu ni lazima utumie kondom mbili, moja unavaa na nyingine unaimeza kabisa kwa ajili ya kinga thabiti. Foleni iliyoingia hapo, kama ile kitu isingekuwa elastic kuna hatari pangekuwa na mfereji wa suez hapo.
mambo dada,
naona mada imebadilika si unajua ugonjwa wao.
poa kabsa Joy hofu kwako tu....naona wazee wamekuvamia mami kuwa nao makini sana sana Masa na Chriss...sio watu wazuri....
kwani kuolewa ndo munaacha fani jamani??Huyu mchuchu si kaolewa?
geoff swali lako hata mie lilikuwa linaniumiza kichwa katika safu nzima ya wadada wa twanga pepeta napenda saaana kumuona Aisha Madinda akifanya kazi yake ,anaiweza saaana
lakini swali mbona sasa haonekani???