Hivi akina Pele, Maradona, Zidane Messi na Ronaldo hawawezi 'Kumshtaki' kwa Mungu Clatous Chota Chama kwa 'Kipaji' kikubwa anachokimiliki?

Hivi akina Pele, Maradona, Zidane Messi na Ronaldo hawawezi 'Kumshtaki' kwa Mungu Clatous Chota Chama kwa 'Kipaji' kikubwa anachokimiliki?

Chama mpaka acheze na vitimu vibovu wachezaji mabeki wahongwe ndio anaonekana, hakuna mchezaji hapo
 
Wala huhitaji 'Akili' kubwa au 'Kubishana' mno pale tu ukiambiwa kuwa Mchezaji Clatous Chota Chama ni 'Football Genius ' duniani na mbinguni pia.
TFF imeamua kua ile "Assist" itakua na Value sawa na "Assist" 20 za kawaida. So CCC ndo anaeongoza kwa assist now.
 
As vita timu mbovu?, Nkana timu mbovu?, Sevilla timu mbovu?
Na yanga ikiwepo ni timu mbovu?
Hao wote chama aliwaka, asa sijui hoja yako umeiokota wapi.

Sevilla usiihesabu, ile walikua wanapasha na kuenjoy. "Friend mechi"
 
Chama mpaka acheze na vitimu vibovu wachezaji mabeki wahongwe ndio anaonekana, hakuna mchezaji hapo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kweli yani mbona chama mwenyewe anaonekana tu kwenye timu mbovu, Alionekana kwa Nkana, As vita, Utopolo fc, na Jana kaonekana kwa Biashara zote timu ambazo ni mbovu
 
Hao wakina pele,Ronaldo na messi watakuwa wanajisemea bora mtu huyu ameishia africa angeonekana huku sijui uGoat(u~mbuzi) wetu ungekuaje
 
Chama mpaka acheze na vitimu vibovu wachezaji mabeki wahongwe ndio anaonekana, hakuna mchezaji hapo

Hongera kwa kutambua kuwa Chama anaonekana kwa Vitimu vidogo vidogo kama Vile Yanga na Ndiyomana Kitimu chenu Kidogo tulipowagegeda Goli 4 Chama nayeye katupia.
 
Back
Top Bottom