iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 289
Wanaukumbi,
Kwa wale wenye mazoea ya kusikiliza au kujisomea habari za UFOs (unidentified Flying Objects) au Aliens (watembezi/viumbe wanaofika hapa duniani toka sayari zingine) watakubaliana na mimi kwa kiasi kikubwa kabisa kwamba visa na matukio yanayo-ripotiwa ni kutoka ama Amerika ya kaskazini (USA na Canada) na kwa uchache kabisa Ulaya. ...
kuna UFO nyingi tu zinazunguka angani, nyingine ni kwasababu ya intelligensia ya mataifa yaliyoendelea kwa ajili za kiusalama ila watu wanatumia evidence na taarifa hizo kuwa na imagination ya vitu fulani kama sahani hizo kwenye picha.
ukumbuke UFO stands for Unidentified Flying Objects. ndege za kivita nyingi hazina identification/alama za kusomeka kwenye radar etc. Hizo pia ni UFO, ila sio hizi sahani.